hamna kuvumilia!likeki lataifa wanakula wachache sana zaidi(wanasiasa),nchi yetu sio maskini,tz nitajiri sana ingekuwa maskin walimu tungekubali,haiwezekani mtu mwenye diploma ya medicine alingane mshahara na mwenye degree yaualimu huo niudhalilishaji kabisa!naomba walimu wenzangu private naserikalin tufanye kweli,yani tufelishe watoto asilimia 98 hatakama balaza(necta)akiisiti zibaki zeros ili serikali idhibitishe tuko serious alaa!nahasiri hebu niishie hapo......!