Kimetah
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 1,049
- 189
walimu wanasubiria kwa hamkubwa mwezi wa saba wataongezewa Tsh.ngap kwenye mshahara wao>>>
Je serilali inalijua hilo au wewe mwananchi walifam hilo?
Ongea na mwalimu wa mtoto wako ili akubaliane na chochote serikali itakachokiifanya azidi kuvunilia taabu na matatizo pamoja na kumfaulisha mwanao.
Je serilali inalijua hilo au wewe mwananchi walifam hilo?
Ongea na mwalimu wa mtoto wako ili akubaliane na chochote serikali itakachokiifanya azidi kuvunilia taabu na matatizo pamoja na kumfaulisha mwanao.