DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii kada kila kiongozi huwa anajihisi anawamudu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Imagine unaambiwa hivyo huku umeshasuka mkeka wako mwenyewe na unasubili timu moja tu itiki ubebe kibunda chako..
Kama namuona teacher hapo aliyevaa batiki ya njano na ugoro anamwangalia mkuu wa wilaya kwa madharau kabisa. Ila sijasema amebet jamani🤣🤣🤣🤣
Kazi ngumu sana hiiHABARI Walimu katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wametakiwa kujiepusha na tabia ya kucheza michezo ya kubeti na kuchukua mikopo kandamizi ambayo imekuwa ikishusha heshima ya Mwalimu na utumishi wa umma.
View attachment 3120288
Ipo siku watakatazwa kupata hamu ya tendoHABARI Walimu katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wametakiwa kujiepusha na tabia ya kucheza michezo ya kubeti na kuchukua mikopo kandamizi ambayo imekuwa ikishusha heshima ya Mwalimu na utumishi wa umma.