Imagine unaambiwa hivyo huku umeshasuka mkeka wako mwenyewe na unasubili timu moja tu itiki ubebe kibunda chako..
Kama namuona teacher hapo aliyevaa batiki ya njano na ugoro anamwangalia mkuu wa wilaya kwa madharau kabisa. Ila sijasema amebet jamani🤣🤣🤣🤣