Walimu wakatazwa kubet

🤣🤣
 
HABARI Walimu katika wilaya ya Mlele mkoani Katavi, wametakiwa kujiepusha na tabia ya kucheza michezo ya kubeti na kuchukua mikopo kandamizi ambayo imekuwa ikishusha heshima ya Mwalimu na utumishi wa umma.
Ipo siku watakatazwa kupata hamu ya tendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…