Jeremiah Stephin
Senior Member
- Feb 6, 2014
- 118
- 124
Kumekuwa na uvumi kwamba mfumo wa zamani umerudishwa..huu ni ule wa kumwajili mwalimu aliye pata sup katika mtihani wake wa mwisho kisha ata sapua akiwa kazini.inahusisha walimu ngazi ya diploma na mfumo uta anza rasmi mwakani...yeyote anae jua atujuze