Walimu waliofunga Shule wakutane Shuleni kwao walau siku moja au mbili kwa Wiki


You are very unrespectful to teachers...!!

Wakati mwingine kumbe mtu akikaa tu nyumbani anakuwa anawaza ujinga tu kama wewe....

Yaani unaamua kuwatukana na kuwa-insult walimu wetu unreasonably kabisa...

Kwani wanywa pombe (walevi) na wenye madeni ni walimu tu? Polisi, bankers, manesi, madaktari, wafanyibiashara, wamachinga nao unasemaje bwana?

Pls, try at least once to be respectful to teachers...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…