Hassanitoz
Member
- May 18, 2015
- 9
- 1
yaan watu sijui wakoje?kwani walifkiri wataajiriwa wote?wengine watafute private wasiilaumu serikali bure
Usiseme Hvyo Kwa Sbb Ww Umepata Kama Ingelikuwa Ni Wewe Alafu M2 Ametoa Kauli Hyo Ungefanyaje?
achana nae,hafikiri wenzake,ni mbinafsi,huyo hafai kuwa kiongozi,ndio wale wanaosema mil 10 ni pesa ya mboga,kumbe wengine hata mlo mmoja ni shida.
walimu wa arts wametosha tumeambiwa tokea mwaka juzi,saiv ni walimu wa scienceUsiseme Hvyo Kwa Sbb Ww Umepata Kama Ingelikuwa Ni Wewe Alafu M2 Ametoa Kauli Hyo Ungefanyaje?
Waalimu waajiriwe wote au mnataka kukosa kura