Hassanitoz
Member
- May 18, 2015
- 9
- 1
Walimu Waliokosa Ajira Awamu Ya Pili Walifurika Leo Makao Makuu Tamisemi Dodoma Na Katika Tawi La Tamisemi Daresalaam Wakilalamika Kuachwa Kwa Mara Ya Pili Tena.. Unadhani Nini Tatizo?
Au Kutakuwa Na Awamu Ya Tatu?
Au Kutakuwa Na Awamu Ya Tatu?