Walimu walioomba kubadirishiwa vituo ajira mpya hawalipwi pesa ya kujikimu

Walimu walioomba kubadirishiwa vituo ajira mpya hawalipwi pesa ya kujikimu

Baba Emmanuel

Member
Joined
Jul 18, 2012
Posts
10
Reaction score
1
Capture2.PNG

Mwakani Wanafunzi wakifeli, wanaanza kuunda tume ili kuchunguza kwanini wanafunzi wanafeli, wakati walimu wanapewa mazingira magumu ya kazi kiasi hiki. Ajira zimetoka wapo waliomba kubadilishiwa vituo kwa sababu za msingi kabisa na wamekubaliwa. Tatizo ni nini wasilipwe pesa za kujikimu? Kila mwaka wapo wanaoomba kubadilishiwa vituo mara tu baada ya ajira. Lakini mipango na utendaji wa aina hii kwangu mimi nadhani ni aina fulani ya wizi kama sio ufisadi. pesa hii itapelekwa wapi?
 
Dogo kwanza attachment yako haisomekii pili bado sijaelewa, je unatoa taarifa hapa au UNALALAMIKA? Ni wewe au unatomtolea/unawatolea dukuduku waalimu waliohamishwa then hawajapata pesa? Try to be, a bit clear
 
Back
Top Bottom