Walimu waliosapua 2014 waombwa kuandika barua za ajira?

Faru dume

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2012
Posts
471
Reaction score
116
Poleni wadau,nimepata kusikia kwa watu kuhusu kuandika barua ya kuomba ajira kwa wale walio sapua May 2014 ....hivi hii taarifa inaukweli wowote?kama kweli hyo barua tunaituma wapi?
Kama unazo hizi taarifa tushee ideas hapa....
NB:Nimesikia mwisho kesho.
 
Aya ndio madhara ya div. 5...!!!!!
"Sapua" na "pasua"....kuna tofauti kubwa sana ya kimaana apo mkuu....

Walio fanya supplimentary examination? Au walio pasua.
 
Ulitumwa kwenda kucheza huko hadi upate sup acha uboya dogo, uasugua bench had ukome na CCM yenu
 
acheni kubabaika walimu,subiri ajira,mnahitajika sana hasa wakt wa kampeni.
 
Nilijaribu kulifuatilia hilo suala nikaambiwa ni sio kweli ajira ni kwa wote waliosapua na fresh from college

Thats all:wink1:
 
Hivi watu wengine sijui huwa wanatoaga wapi taarifa zao yaani limtu linakurupuka tu eti linaaaanza kupost vitu ambavyo hata ukifikiria kidogo tu haviwezekani.

Sasa kuandika barua ya nini wakati data zote ziko wizarani,Tamisemi na kwa taarifa yako up to now majina yashapelekwa hazina tayari kwa kuanza kupanga kugawa pesa ya kujikimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…