Walimu, wanachuo na wanafunzi wote mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla wake

Walimu, wanachuo na wanafunzi wote mkoa wa Kigoma na Tanzania kwa ujumla wake

lutayega

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
1,297
Reaction score
567
Kituo cha walimu Buhigwe kimefungua wavuti(blogspot) ambayo lengo lake ni kuwakutanisha walimu na wanafunzi wote mkoani kigoma. Wavuti hiyo ambayo ni www.buhigwetrc.blogspot.com itatoanafasi kwa wadau mbalimbali wa elimu kushiriki katika mijadala ya kielimu, pia kutakuwepo uchambuzi wa mada mbalimbali zinazofundishwa shule za msingi na sekondari. Pia ndani ya huo mtandao zitawekwa notice za mada mbalimbali katika ngazi mbalimbali za kimasomo kama vile shule za msingi na sekondari,diploma na shahada.
Kwa maelezo zaidi tembelea www.buhigwetrc.blogspot.com wadau wote mnakaribishwa ili kuinua ubora wa elimu yetu.
 
Mkuu lutayega umefanya jambo jema sana hasa kipindi hiki ambacho elimu inazidi kuporomoka. Ila nakushauri mtandao huo uwasaidie na wanachuo toka vyuo vya ualimu
 
Back
Top Bottom