Mi bishoo tu
Senior Member
- Jun 3, 2023
- 122
- 294
Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...
1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.
2.Viatu vyenyewe four angle
3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.
4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa
Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.
1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.
2.Viatu vyenyewe four angle
3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.
4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa
Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.