Walimu wanajidhalilisha kutokana na yafuatayo:

Walimu wanajidhalilisha kutokana na yafuatayo:

Mi bishoo tu

Senior Member
Joined
Jun 3, 2023
Posts
122
Reaction score
294
Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...

1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.

2.Viatu vyenyewe four angle

3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.

4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa

Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.
 
Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...

1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.

2.Viatu vyenyewe four angle

3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.

4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa

Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.
Ualimu tena mmewaanza, kwani wanawalalamikia nyie kwamba hali zao mbaya?
 
Ndo ujinga Gani umeandika? Kwani wanaovaa four angles wote ni walimu?
Hawana posho Wala marupurupu,wewe umejuaje? Au wewe pia ni mwalimu?
Unadai wameridhika,wasingeridhika wewe kuandika huu ujinga angekufundisha nani?
Yaani wamekufundisha kusoma na kuandika,Leo unajua kutumia smartphone unawaona hawana akili😳
Nina uhakika hujalelewa katika maadili mema,umelelewa hovyo,kama ungelelewa vema usingeandika ujinga huu,nyie watoto wa 2000 mna taabu sana.
Heshma Kwa walimu wako,pumbavu mwili mzima.
 
Kutoka kazini saa 8 fursa Nzuri sana ukilinganisha na Kazi nyingi kutoka saa 12 huko miusafiri unafika saa 2 usiku yaani kutoka saa 8 Kama kilasiku kwako weekend unafanya fursa zingine.

Mavazi wanazingua Kuna mwalimu mtaani wa sec kabisa anavaa mavazi daah
 
Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...

1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.

2.Viatu vyenyewe four angle

3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.

4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa

Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.
Umeandika upumbavu mtupu
 
Hizi kelele za kuhusu walimu kila siku, labda mi nieleweshwe, hao walimu wanaozungumzwa humu ni kwa ujumla wao au kuna categorization?
  • Mwalimu wa vidudu/kindergarten
  • Mwalimu Primary schools
  • Mwalimu Secondary schools, zote O na A level
  • Mwalimu wa College, Institute na Universities au hawa ni wahadhiri?

Chujio la upatikanaji wa walimu hao, ni sawa? Nini kinawatofautisha hapo?

Sio kama askari polisi, jwtz, magereza n.k?

Maana, huko kote, vyeti ndo vinakuweka sehemu fulani na hivyo kuonekana tofauti kwenye jamii.

Tofauti na sehemu kama wizarani, halmashauri na taasisi kadhaa za umma na binafsi, ambapo unaweza kutana na DEREVA au MESENJA, ukadhani ni mkuu wa idara ya manunuzi, dereva kavimba kwenye V8, kapigilia vyema, maneno mengi kama Doto magari; akimtisha mwalimu wangu wa darasa la 7b, ticha anagwaya.
 
Ndo ujinga Gani umeandika? Kwani wanaovaa four angles wote ni walimu?
Hawana posho Wala marupurupu,wewe umejuaje? Au wewe pia ni mwalimu?
Unadai wameridhika,wasingeridhika wewe kuandika huu ujinga angekufundisha nani?
Yaani wamekufundisha kusoma na kuandika,Leo unajua kutumia smartphone unawaona hawana akili[emoji15]
Nina uhakika hujalelewa katika maadili mema,umelelewa hovyo,kama ungelelewa vema usingeandika ujinga huu,nyie watoto wa 2000 mna taabu sana.
Heshma Kwa walimu wako,pumbavu mwili mzima.
[emoji28][emoji28] et"pumbavu mwili mzima"
 
Back
Top Bottom