kaligopelelo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 2,832
- 4,070
4 pigia msitari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara mkubwa unaanzia Bei gani?Katika uchunguzi wangu nimebaini mshahara wa Kanda ya ualimu kibongo bongo ni mkubwa kiukweli ila nikabaini mambo yafuatayo ndio yanaifanya Kanda hiyo kudharaulika katika jamii...
1.Mavazi hasa walimu wa kiume wanavaa suluari Pana za kijivu na mashati mekundu.
2.Viatu vyenyewe four angle
3.Majungu, mwalimu yupo radhi amchongee mwenzake Kwa mkuu wa shule ili yeye apate fursa zipatikanazo mara moja Kwa mwaka za usimamizi.
4.Hawana posho Wala marupurupu lakini wameamua kuridhika tu na kuwaza kujiendeleza kimasomo ili wapate degree na masters huku familia zikiteseka.Wengi hawawazi mbinu mbadala za kupata pesa
Kwa watu wenye focus hii kazi ni nzuri sana hasa serikalini maana Wana muda mwingi sana wa kuweza kusimamia mambo mengine.
Kwa kifupi ni kuwa, ukiona mtu anaponda sana walimu au taaluma flani, ujue na yeye ni mmoja wao au alikuwa mmoja wao.Hawana posho Wala marupurupu,wewe umejuaje? Au wewe pia ni mwalimu?
Sasa hivi bado ana miaka 23watoto wa 2000
Laki 7/8/9 kwa walimu wa Serekali (sio private) huo ndio mshahara mkubwa, ingawa kuna Mwalimu wa primary yeye na mkewe wote walimu wamepanga nyumba nzima, watoto wao wanasoma kwenye magari ya njano sio kayumba na wanafundisha shule za Serekali yaan primary sasa jiulize wanalipwa kiasi gani?Mshahara mkubwa unaanzia Bei gani?