Walimu wanajidhalilisha kutokana na yafuatayo:

Mshahara mkubwa unaanzia Bei gani?
 
Hawana posho Wala marupurupu,wewe umejuaje? Au wewe pia ni mwalimu?
Kwa kifupi ni kuwa, ukiona mtu anaponda sana walimu au taaluma flani, ujue na yeye ni mmoja wao au alikuwa mmoja wao.

Mfano, huyu mtoa mda ni mwalimu au alikuwa mwalimu akaacha kwa either kufukuzwa au kupata kazi nyingine (probably recategorisation) na wakati akiwa mwalimu aliwahi kuonewa onewa, hivyo ni kama amejenga nao chuki.

Kwa mtu ambaye akili zake ziko sawa sawa hawezi kushinda kutwa kucha anaongelea maisha ya walimu ambao kila siku wanakaa na watoto wake kwa zaidi ya masaa 9
 
Mshahara mkubwa unaanzia Bei gani?
Laki 7/8/9 kwa walimu wa Serekali (sio private) huo ndio mshahara mkubwa, ingawa kuna Mwalimu wa primary yeye na mkewe wote walimu wamepanga nyumba nzima, watoto wao wanasoma kwenye magari ya njano sio kayumba na wanafundisha shule za Serekali yaan primary sasa jiulize wanalipwa kiasi gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…