sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ipo hivi, mwanangu anasoma shule fulani English medium, mimi haya mambo ya schoolbus niliyakataa kabisa maana kuna wenzake wengi tu wanatembea na hata mimi baba yake siijui school bus maisha yangu ya elimu, ila pia niliona atembee tu ili kunyoosha miguu kwa afya yake.
Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.
Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao
Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.
Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,
Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa
Sasa pale shuleni kwao yeye yupo na wenzake wachache sana wenye utaratibu kama wake, yeye na wenzake wasiopanda schoolbus ama kufatwa na usafiri binafsi wakitoka shule huwa wanacheza mpira kiwanja cha shule fulani ya karibu na wenzao wa shule nyingine, watapiga piga stori njiani na michezo michezo mingine maana naona saizi anapenda kuruka sarakasi itakuwa labda alifundishwa huko huko.
Sasa naona huenda wenzake walikuwa hawapendi hii kitu, baadhi wakaanza kuwaambia wazazi wao kwamba wanaweza kwenda na kurudi kutoka shule bila school bus au usafiri binafsi kwa hiyo nao waanze kurudi nyumbani kivyao
Sasa baada ya hii ishu kwenda sana ndio baadhi ya wazazi wakafika shuleni na baada ya kuchuimbua chimbua ndio wakafikia hatua kudai mwanangu na marafiki zake wachache wanaoendaga nyumbani bila msaada ndio wanawatia sumu watoto wao.
Mwanangu nimeongea nae, yeye kasema hajashawishi yeyote kuacha kupanda schoolbus,
Sasa hapa binafsi kama mzazi naona mwanangu hana kosa na inabidi watengue hii kauli, nimepewa barua nifike Ijumaa