uujn
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 666
- 851
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana mkuu hilo neno uasiUkifika huko shuke uwaambie hao walimu wakome kabisa kumuhusisha mtoto wako na uasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana mkuu hilo neno uasiUkifika huko shuke uwaambie hao walimu wakome kabisa kumuhusisha mtoto wako na uasi
Rafiki this is why i love you so much!😁😁😁Dogo yupo std gani? Sijaelewa ana convincing power kiasi gani hadi madogo wenzie wamuige, yupo vizuri anaweza hata kugombea ubunge baadaye 🤔
Mimi bado nakupenda...Dogo yupo std gani? Sijaelewa ana convincing power kiasi gani hadi madogo wenzie wamuige, yupo vizuri anaweza hata kugombea ubunge baadaye 🤔
Watoto wengine ni charismatic hawa ni wakutunzwa kwa matumizi ya baadae.Dogo yupo std gani? Sijaelewa ana convincing power kiasi gani hadi madogo wenzie wamuige, yupo vizuri anaweza hata kugombea ubunge baadaye [emoji848]
Kuna ukweli hapoNilichokiona hapo ni hao watoto wengine hawataki kupanda basi la shule ili wapate muda wacheze mpira (na ukifanyika uchunguzi wengi wanaokataa kupanda mabasi ni wavulana)kawaida watoto wanapenda michezo na zile stori za mpira waliocheza wenzao zinawavutia na wao kutamani kucheza.
Pia nyumbani kwao inawezekana wanabanwa sana hawana muda wa kutosha kucheza,kuchanganyika na watoto wenzao nk.
Yani ndicho nachoona hapa, na ni kweli karibu wote ni wavulana mkuu, hapo umepatia kabisa..... itakuwa kama ulivyosema wengi wanapenda pia kucheza wakitoka nje, kuhusu kubanwa majumbani hili swala nalo umepatia ni kweli kabisa wengi wao huwa wanabanwa wasitoke majumbani (geti kali)Nilichokiona hapo ni hao watoto wengine hawataki kupanda basi la shule ili wapate muda wacheze mpira (na ukifanyika uchunguzi wengi wanaokataa kupanda mabasi ni wavulana)kawaida watoto wanapenda michezo na zile stori za mpira waliocheza wenzao zinawavutia na wao kutamani kucheza.
Pia nyumbani kwao inawezekana wanabanwa sana hawana muda wa kutosha kucheza,kuchanganyika na watoto wenzao nk.
Ni kesi ndogo sana hii, kibao kitawageukiaHamisha mwanao pesa yako mwenyewe inakutia utumwa .
We babu ni upendo gani huo unaomaanisha? Nakupenda pia 😂Mimi bado nakupenda...
Hee imekuaje leo, thank youu🤔Rafiki this is why i love you so much!😁😁😁
Mwafrika ukimwambia kuwa 'i love you' huwa anaruka kwa mshtuko!😁Hivi sisi waafrika kumpenda binadamu mwenzako ni kuanzisha chokochoko?Hee imekuaje leo, thank youu🤔
Ni kutokana na tabia zao, sasa kila siku anakusema vibaya huna chura mara huna hiki 🤔siku akisema i love you lazima ushtuke imekuaje, yaani sijakuzoea😂😂Mwafrika ukimwambia kuwa 'i love you' huwa anaruka kwa mshtuko!😁Hivi sisi waafrika kumpenda binadamu mwenzako ni kuanzisha chokochoko?
Hiyo ni 'i love you' ile ya marafiki,siyo ile ya mambo ya chura.Ni kutokana na tabia zao, sasa kila siku anakusema vibaya huna chura mara huna hiki 🤔siku akisema i love you lazima ushtuke imekuaje, yaani sijakuzoea😂😂
Sijazoea mimi! Sitaki love yako😂Hiyo ni 'i love you' ile ya marafiki,siyo ile ya mambo ya chura.
[emoji12][emoji12][emoji12] ulishaambiwa kuw huna chu....?Ni kutokana na tabia zao, sasa kila siku anakusema vibaya huna chura mara huna hiki [emoji848]siku akisema i love you lazima ushtuke imekuaje, yaani sijakuzoea[emoji23][emoji23]
🤣🏃🏃🏃Sijazoea mimi! Sitaki love yako😂