Walimu wanamsingizia kiuonevu mwanangu, je ni hatua gani nichukue kama mzazi?

Walimu wanamsingizia kiuonevu mwanangu, je ni hatua gani nichukue kama mzazi?

Nilichokiona hapo ni hao watoto wengine hawataki kupanda basi la shule ili wapate muda wacheze mpira (na ukifanyika uchunguzi wengi wanaokataa kupanda mabasi ni wavulana)kawaida watoto wanapenda michezo na zile stori za mpira waliocheza wenzao zinawavutia na wao kutamani kucheza.

Pia nyumbani kwao inawezekana wanabanwa sana hawana muda wa kutosha kucheza,kuchanganyika na watoto wenzao nk.
Kuna ukweli hapo
 
Nilichokiona hapo ni hao watoto wengine hawataki kupanda basi la shule ili wapate muda wacheze mpira (na ukifanyika uchunguzi wengi wanaokataa kupanda mabasi ni wavulana)kawaida watoto wanapenda michezo na zile stori za mpira waliocheza wenzao zinawavutia na wao kutamani kucheza.

Pia nyumbani kwao inawezekana wanabanwa sana hawana muda wa kutosha kucheza,kuchanganyika na watoto wenzao nk.
Yani ndicho nachoona hapa, na ni kweli karibu wote ni wavulana mkuu, hapo umepatia kabisa..... itakuwa kama ulivyosema wengi wanapenda pia kucheza wakitoka nje, kuhusu kubanwa majumbani hili swala nalo umepatia ni kweli kabisa wengi wao huwa wanabanwa wasitoke majumbani (geti kali)
 
Mwanao amewashawishi hasingiziwi ila sio jambo baya atakua charismatic leader usimfanye aone alichokifanya ni kibaya ndio wakina Tindu LUSSI hao
 
Imaonekana huyo mwanao ni stubborn Kama wewe baba yake. Sasa umeitwa shule hujafika ukayasikia haswa uliyoitiwa unakuja hapa kutafuta defence mechanisms?!
 
Huyo dogo hajawashawishi wenzake ilaa wenzake wanataka nao wawe wanaenjoy kucheza maana kila siku wanaadithiwa Utamuu yaniii... shule ilazimisheeee schoolbus
 
Back
Top Bottom