Walimu wanamsingizia kiuonevu mwanangu, je ni hatua gani nichukue kama mzazi?

Mzazi,
Barua ya wito imeeleza sababu ya wewe kuitwa?
Umeanza kujihami kabla hujakutana na waliokuita,utaenda ukutane na swala la muhimu kuhusu mstakabali wa mwanao uje ushindwe kuleta mrejesho humu.
Kuwa mpole kasikilizie wito kwanza.
 
Itoshe tu kusema umepeleka mtt wako akafundishwe na mazuzu
 
Muhamishe tu hapo mpeleke shule za uswazi.
Maana watoto wa masikini kuchanganyika na watoto wa kishua ni kuharibiana utaratibu.

Kama huwezi kufuata taratibu za shule ya watu si uwaachie shule yao?

Wazazi masukini huwa wakorofi sana na wabishi.
 
Aisee hii shule wana Changamoto ya kudeal na watoto. Au wanaendekeza tabia ya deko kwa wazazi.
 
Endeleza kipaji hicho cha ushawishi wewe safi sana . dogo kesha onyesha njia huyo ni Bonge la Rais... usije kuja hapa unalia oooh!! sijui kipaji cha mwanangu, zubaa uchekwe!

km unaona vepe niazime Mama yake Mtoto nimuelezee jinsi ya kuongea na waalimu wake!! ili wewe uendelee kuchapa kazi..nipe number hapa...
 
Huyo dogo hajawashawishi wenzake ilaa wenzake wanataka nao wawe wanaenjoy kucheza maana kila siku wanaadithiwa Utamuu yaniii... shule ilazimisheeee schoolbus
We Muongo!! au hujui!! sikia weye Mzee wa kula ki masihara!! dogo amewashawishi kisiasa, kisaikolojia,kisayansi ana nature ya convincing power!
 
Endelea kufuga jambazi la miaka ijayo
Mwalimu amsingizie kitu mtoto jwa uspesho upi alionao
 
Ninachojua.
Shule(hana English Medium) sana sheria zao, kusafirishwa watoto ikiwa mojawapo kwa jili ya usalama. Yaani wamtoe kwako salama na wamrudishe kwako salama.
Hapo inaonekana wewe Mzazi umekiuka taratibu.
 
Nenda, wakikuzingua hamisha ada hiyo waone moto
 
Umezaa ukiwa na umri mdogo sana ...sasa mmekutana wote watoto.wewe na mwanao wote bado ni watoto na ndo maana hata walimu wana kutreat kama mtoto. Ungekuwa mtu mzima. Walimu kama ndo ulichoandika kilivyo wasingefanya hivyo. Na pia wala usingekuja kuomba ushauri kwa jambo la kitoto kama hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…