Jimmy Romio
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 367
- 278
Wanawake wote wako sawasawa irrespective of;
Prefession, level ya elimu etc..
Matatizo yao yote ni yafuatayo:
Utarudi saa ngapi?, ulikuwa wapi?, mbona unatumia sana? etc..
Mie ninaye mchumba mwalimu, ila wa kwangu kichechez nafikiria kumpiga chini by end of the year
huyo atakua wa duce mkuu au universities za hapo town, why asiwe kicheche na anataka nyt kula bata maisha,bills,masaai,calabash, etc.
Achana na wa degree shuka wa diploma au grade a tembelea ttc's huko ukachukue mtoto mzuri, tembelea moro,ilonga,kingurunyembe,korogwe,mandaka,butimba,mpwapwa,monduli etc huko ndo utapata mtoto wa ukweli. Mtoto psychology ndo mwake kashameza matheory kama ya b. F skiner, sigmund freud, a. Maslow, etc why ashindwe kulea wanao vizuri? Why ashindwe kuwa mke mwema?
Acheni walimu waolewe mana ile kuwa mwl tu ni point moja tayari kama mwanaume atakua anataka mama wa kweli wa kulea wanae.
huoBujibuji ilikuwaje ukaanza kuwachunguza vidole mie na wasiwasi na wewe
hicho si kigezo sahihi cha kupima ulipaswa uwaulize kwani wengi sikuhizi wanavaa pete za ndoa kama fasheni
safi sana! Hapo umenena, pata bia moja bac
Mbona unanitisha!!!Owa mwanasheria uone moto wake!
Madrasa?Je walimu wa kike wa chuo nao wanafaa? Naomba mnijuze wadau!
huyo atakua wa Duce mkuu au universities za hapo town, why asiwe kicheche na anataka nyt kula bata maisha,bills,masaai,Calabash, etc.
Achana na wa degree shuka wa diploma au grade A tembelea TTC's huko ukachukue mtoto mzuri, tembelea moro,ilonga,kingurunyembe,korogwe,mandaka,butimba,mpwapwa,monduli etc huko ndo utapata mtoto wa ukweli. Mtoto psychology ndo mwake kashameza matheory kama ya B. F Skiner, Sigmund Freud, A. Maslow, etc why ashindwe kulea wanao vizuri? Why ashindwe kuwa mke mwema?
Acheni walimu waolewe mana ile kuwa mwl tu ni point moja tayari kama mwanaume atakua anataka mama wa kweli wa kulea wanae.
Huvu humu kuna walimu kweli?[/QUOT
Nenda facebook wamejaa teleee, humu ni kugumu kwao coz wanatakiwa great thinkers. Nawapenda sana na kuwaheshimu sana walimu, bila wao mi nisingefika hapo nilipo.
Huvu humu kuna walimu kweli?[/QUOT
Nenda facebook wamejaa teleee, humu ni kugumu kwao coz wanatakiwa great thinkers. Nawapenda sana na kuwaheshimu sana walimu, bila wao mi nisingefika hapo nilipo.
acha kudharau watu wewe,maticha wapo kibao humu pimbi we
acha kudharau watu wewe,maticha wapo kibao humu pimbi we
Na kweli huyu ni PIMBI, mimi mwenyewe ni Teacher mbona nipo humu.
Na kweli huyu ni PIMBI, mimi mwenyewe ni Teacher mbona nipo humu.