Leo naona humu hekaheka zimepungua sababu kubwa ni kwamba walimu wapya wameenda kuripoti tuna kila mtu aseme kapangwa wapi je kuna maji, umeme,na nyumba? halafu muache usharouharo mpige kazi maana mmeililia sana serikali iwaajiri, kazi njema.
Mie liwale lindi wala cjaripot coz nategemea kuingia udom kuchukua statement result. du, toka mwanza had lind, hv huko liwale kukoje coz ilibd nchukue raman ndo nkaiona kuwa ipo ktkt ya mkoa wa lindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.