Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 70
Serikali inatarajia kuajiri walimu wapya 23,027wa ngazi ya Cheti, stashahada na shahada katika Halmashauri mbalimbali hapa nchini. Walimu hao wa shule za msingi , yaani ngazi ya cheti ni 10,595, stashahada ni 5,848 na shahada ni 6,584 ambao jumla yao ni 23,027 ambao walikuwa hawajaajiriwa.
Source : Mwananchi
HONGERA SERILAKI KWA KUONA UMUHIMU WA KUWA NA WALIMU WA KUTOSHA MASHULENI.
Source : Mwananchi
HONGERA SERILAKI KWA KUONA UMUHIMU WA KUWA NA WALIMU WA KUTOSHA MASHULENI.