Walimu wapya wamedharauliwa na kupuuzwa.

Walimu wapya wamedharauliwa na kupuuzwa.

Una makengeza ya macho na ubongo! kuna sehemu nimesema 'degree wote'? na ni wapi nimekashifu watu wa degree? aisee ungejua nina hasira ya kukosa mshahara usingenitibua...halafu kwa taarifa yako nina uhakika na nilichokiandika kuwa asilimia kubwa ya wenye degree wamepata mshahara...

hahahahahaaaaa
 
mwalimu allan kama umeripoti kuanzia tarehe moja mpaka tano na ukakamilisha kufungua acount na ukaipeleka halmashauri lazma utapewa,kinyume na hapo yatabk kua madai hata utakapostaafu,kumbuka kwenda halmashauri D.O hayupo humu na hasira bila kuchukua hatua ni UMBULULA.
 
Wakati jana raisi akitangaza nyongeza ya mshahara kuna idadi kubwa ya walimu wapya walioajiriwa aprili ambao hawajapata mshahara mfano h/mashauri ya kilindi ni walimu wapya 15 tu walioingiziwa mshahara...halmashauri zingine ni watu 10~30 waliopata mshahara..Sasa CWT inafanya nini? na inavyoonyesha ni jambo la makusudi limefanyika maana wale wa degree wengi wamepata mshahara..jamani serikali iache utani hivi umpange mtu porini halafu usimpe mshahara unategemea aishije??
ivi siku hizi CWT ndo inayolipa waalimu??
dcha ajabu zaid waalim huwa hawaoni kwamba TSD ndio hasimu wao namba moja wana ng'ang'ana na CWT pekee.
ongeeni na waajiri wenu kuhusu mishahara yenu.
 
Mpaka sasa walimu wapya wanamtafuta mbunge wao bila mafanikio kwani wana hali ngumu sana ya kimaisha maana wamelipwa nusu ya pesa yao ya kujikimu na kuhaidiwa baada ya wiki moja watawamalizia pesa yao lakini mpaka hii leo hawajalipwa hiyo pesa na si hiyo tu bali hata ile ya nauli nayo hawajalipwa. walitegemea labda ile ya mshahara watalipwa nayo wameambiwa serikali haina pesa. hii halmashauri ya Bumbuli haina maelezo zaidi ya hayo yaani wasubiri labda mshahara mwishoni mwa mwezi wa tano au wa sita. halmashauri hii iko nyuma kwa maendeleo ya elimu, ikichangiwa na kukatishwa tamaa kwa walimu pamoja na mazingira magumu ya kufanya kazi bila kulipwa pesa ya kujikimu, nauli wala mshahara kwa halmashauri ya Bumbuli. je, mnataka walimu waishi vipi?
 
​Mpaka sasa walimu wapya wanamtafuta mbunge wao bila mafanikio kwani wana hali ngumu sana ya kimaisha maana wamelipwa nusu ya pesa yao ya kujikimu na kuhaidiwa baada ya wiki moja watawamalizia pesa yao lakini mpaka hii leo hawajalipwa hiyo pesa na si hiyo tu bali hata ile ya nauli nayo hawajalipwa. walitegemea labda ile ya mshahara watalipwa nayo wameambiwa serikali haina pesa. hii halmashauri ya Bumbuli haina maelezo zaidi ya hayo yaani wasubiri labda mshahara mwishoni mwa mwezi wa tano au wa sita. halmashauri hii iko nyuma kwa maendeleo ya elimu, ikichangiwa na kukatishwa tamaa kwa walimu pamoja na mazingira magumu ya kufanya kazi bila kulipwa pesa ya kujikimu, nauli wala mshahara kwa halmashauri ya Bumbuli. je, mnataka walimu waishi vipi?
 
Huwezi amini mpaka sasa walimu wapya katika Halmashauri ya Bumbuli hawajalipwa pesa yao ya kujikimu, nauli wala mshahara na wanaambiwa mshahara haukupatikana kwa vile serikali haina pesa,kwa hiyo tutegemee labda mwezi wa tano au wa sita. Sasa walimu wapya ili waishi inabidi wawe omba omba, haya ndio maisha halisi ya huku Bumbuli. Hii ni sehemu ambayo maisha ni magumu mno tofauti na mikoa kama vile Mbeya, Songea, Usafiri huku ni wa bodaboda na wa gharama sana. kwa kweli utajuta kuwa mwalimu katika Halmashauri hii, ni maisha mabovu mno, hamna pesa na watendaji wake hawajali wala kuwahurumia walimu wake, kila mtu na mambo yake ya kumletea maendeleo yake binafsi.
 
Back
Top Bottom