Walimu wapya wengi mwezi huu kukosa mshahara

Walimu wapya wengi mwezi huu kukosa mshahara

middo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2011
Posts
207
Reaction score
56
Ijumaa iliyopta nilikua halmashaur kwangu nikifwatilia mambo yangu. Afisa utumishi wa wilaya akanidokeza kwamba kuna kundi kubwa sana kama si wote la walimu wapya wakakosa mshahara wa mwezi huu wa 4. Nilivyojarbu kumdadisi akadai eti system inayosimamia malipo kwa wafanyakazi wa serikali imepata tatizo, so walimu wengi hawajaingia kwenye system!!
 
Haaagh! Hadi mimi?? Wallah ntaua mtu!!

Ndo "ujiandae kisaikolojia" hivo. Hali si hali. Ukiona unaambiwa kalete barua ya mwenyekiti wa kitongoji ujue unabii unatimia. Muombe Mungu habari hii iwe ni Tetesi!!
 
Ndo "ujiandae kisaikolojia" hivo. Hali si hali. Ukiona unaambiwa kalete barua ya mwenyekiti wa kitongoji ujue unabii unatimia. Muombe Mungu habari hii iwe ni Tetesi!!

haki ya nani naenda kuivunja hiyo hazina yao! Ole wao nisiwemo!!!
 
Haaagh! Hadi mimi?? Wallah ntaua mtu!!

Usijali babu mlinzi wa shule atasimamia show mwezi woteeeee...tehe teheee.wewe usiu na wasiwasi, si walikupa ualim wa store vile, anza kuuza yale majembe,kwanja!hahaa ndo hivyo kama hamna mshahara utaishije sasa?hahaha...ukikamatwa mimi simooooo....
 
Haa Mbona Mimi Najua Kitambo Hali Ndio Iyo Asee Au Wenzangu Mnajua Mnalipwa? MIMI MWEZI HUU SIJAFUNDISHA COZ SILIPWI BANA
 
Usijali babu mlinzi wa shule atasimamia show mwezi woteeeee...tehe teheee.wewe usiu na wasiwasi, si walikupa ualim wa store vile, anza kuuza yale majembe,kwanja!hahaa ndo hivyo kama hamna mshahara utaishije sasa?hahaha...ukikamatwa mimi simooooo....

ha ha ha afu wewe! Muone !! Nakwambia ntauza store nzima na madirisha yake! Wasintanie!!!
 
ha ha ha afu wewe! Muone !! Nakwambia ntauza store nzima na madirisha yake! Wasintanie!!!

Hahaaha...uza, vikiisha mchombeze babu mlinzi hadi akupe fungua za LAB ,hapo sasa unaanza kubeba test tube,separating funnel,measuring cylinder n.k....hahaha chemical usizisogeleeee kabisaaaa mana mwenzangu wewe wa vishazi na vitenzi vikurupushi usije ukaharibu screen server bureeee tukakosa mahari bureeee..hahaa!ukikamatwaaa simooooo...tehe tehe teheee
 
Hahaaha...uza, vikiisha mchombeze babu mlinzi hadi akupe fungua za LAB ,hapo sasa unaanza kubeba test tube,separating funnel,measuring cylinder n.k....hahaha chemical usizisogeleeee kabisaaaa mana mwenzangu wewe wa vishazi na vitenzi vikurupushi usije ukaharibu screen server bureeee tukakosa mahari bureeee..hahaa!ukikamatwaaa simooooo...tehe tehe teheee

ha ha ha ha!!nakwambiaje mkuu mwenyewe wa shule akikaa vibaya tu namuuza nayeye vilevile!!! He he kuna vitu wanaita eti vitenzi ving'ang'anizi !! Wallah hadi faya ex tingisha ntauza !!
 
hiyo system imepata tatizo kwa walimu peke yao!
 
Hata wazoefu hatujapata salary hadi leo,tatizo lipo wapi?
 
ha ha ha ha!!nakwambiaje mkuu mwenyewe wa shule akikaa vibaya tu namuuza nayeye vilevile!!! He he kuna vitu wanaita eti vitenzi ving'ang'anizi !! Wallah hadi faya ex tingisha ntauza !!

Hahaa...hebu niambie vitenzi ving'ang'anizi vikojeeee? Hahaaaaa mtaalamu wa kiswahili #mkoroshokigoli njoo huku usikie aina mpya ya maneno. Hahaa mkuu wa shule tuanze kuchonga mchongo wa ile baskeli yake anayoipaki pale chini ya mwembe karibu na yule bibi muuza ubuyu mke wa mlinzi..tehe teheeeeeee
 
Back
Top Bottom