Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, maana matokeo yakitoka kwa majina ni rahisi watu na wanafunzi wenzie kutambua mapema kuwa jina lake limetumika kitapeli, hasa wale wanaomjua mwenye jina.MATOKEO ya mitihani yote yawe yanaandikwa na majina urudishwe utaratibu wa zamani hili la kutoa namba ya mwanafunzi na matokeo bila jina watu waovu watacheza sana michezo kama ya hiyo shule na inawezekana ilishachezwa sana
Kanda ya ziwa bado wanaendelea kutia aibu kwa kuendeleza michezo hii ya kizamani.Wanafanya mchezo wakijinga hivyo, kama hawajasoma! hizo dili watuachie sisi! wakanye debe lakujitakia sasa
Picha aliyoenda NECTA ni ya yule aliyefanya mtihani kwa majina ya mwingine.Wasisahau pia kumkamata na msimamizi wa huo mtihani maana kabla ya hao wanafunzi kuanza kufanya hiyo mitihani yao ya Taifa, wanatakiwa kuthibitishwa kama ndiyo wenyewe! kupitia picha zao maalum (Photo Entry) zilizotumwa na Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA).
Wakati mwengine inakuaga ni roho mbaya tu ya wazazi unakuta mtoto wao aliacha shule zamani inafika kipindi Cha mtiani ndo wanampeleka au wamesikia jina lake linatumika na mtu wanaanza vurumai ilihali wote wakose
Majungu, Biharamulo kuna shule ngapi za serikali zenye advance?Pigeni kazi TAKUKURU Kagera msichoke, Biharamulo ni wilaya iliyokuwa imeshindikana. Iligeuka kuwa sehemu ya maficho ambapo watu wanafanya wanavyotaka. Chunguzeni pia hili la wakuu wa shule zenye advance kugang'ania kwenye hizo shule kwa muda mrefu sana na hata wakipewa uhamisho wanau punch juu kwa juu. Wana maslahi gani na hizo shule.
Yaani hao ni wajinga mnooWanafanya mchezo wakijinga hivyo, kama hawajasoma! hizo dili watuachie sisi! wakanye debe lakujitakia sasa