Walimu wengi hawana vigezo na hawana uwezo wa kufundisha

Mshinga

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
3,532
Reaction score
1,126
baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu
 
ndo ubovu wa kufikiria kwa kutumia........
 
Hivi mmekosa vya kujadili au mana kila siku waalimu,nimegundua mnatuonea donge sana nyie watu,
 
Ualimu pasipo Elimu. Ndo ajira ya uhakika TZ, Ukisomea tu unajua utapata Kazi
 
Kwani wabunge wote wanawakilisha matatizo ya wananchi wao? Si wapo wanaoenda kusinzia bungeni? Madaktari wote wanaponya wagonjwa? Hakuna anaezembea hadi mgonjwa akafa? Polisi hawali rushwa? Kama wanakula walifundishwa kula rushwa? Hivyo hivyo kwa walimu si wote wanauwezo wa kufundisha na kueleweka. Kama utataka wawe wanapema interview kwanza ndio waajiriwe basi iwe kwa watumishi wote.
 

achana nae akili zake zimeamia chini ya kitovu zinasimama na kusinyaa kama mnara wa simu!
 
Ualimu ni wito jamani

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Huyu mtoa post ni MSENGENYAJI. Hivi waalimu si wanatahiniwa zaidi ya mara 4 au 6? Halafu huyu atakuwa ni mwangafunzi tena backbencher. Anatumia kalio kufikiria na bongo hazimtoshi.
 
Huyu mleta uzi hana tofauti na samaki anayeitwa KAMBA KOCHI.sifa kubwa ya huyu samaki ubongo na mavi zipo pamoja kichwani,kwa hiyo hapa ametumia ma....na sio ubongo.#NYAMBAFU .
 
Huyu mtoa post ni MSENGENYAJI. Hivi waalimu si wanatahiniwa zaidi ya mara 4 au 6? Halafu huyu atakuwa ni mwangafunzi tena backbencher. Anatumia kalio kufikiria na bongo hazimtoshi.

Mkuu hiyo NYAJI ondoa umpe jina la neno linalobaki.Huyu M..se... ana akili fupi kama maisha ya funza.
 
hajui chochote kuhusu ualimu! hivi anajua maana ya "assesment"? huyu
 
Ungejua degree ya ualimu watu wanavyosoma usingesema
 
baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu

wivu ni kidonda ukishiriki utakonda .umehangaika na mavyeti yako weeeeee! Umeshindwa intervews nyingi weeeeeeee!! Sasa ukaona yafaa kuwaandama walimu,wewe bure kabisa ,ungekuwa umewahi kusoma chuo chochote cha ualimu usinge ongea ushuzi wako humu, na bado vima wewe. Utasugua sana kitaa na cv zako na kazi hutopata coz umekalia umbea na majungu.
 
Ualimu pasipo Elimu. Ndo ajira ya uhakika TZ, Ukisomea tu unajua utapata Kazi

ungekuwa umewahi kusomea ualimu usinge andika ushuzi wako humu mnduku wewe, hivi unaelewa asesmnt ina maana gani vyuo vya ualimu?? Una elewa btp huwa kinafanyika kitu gani huko??au umekurupuka kutoka kwene hogo la jang'ombe ndio mana akili imevurugika? Embu fuatilia kwa makini vyuo vya ualimu wana soma nini na wana fanya nini ndio uje na ushuzi wako hapa.
 
Hii topic ya walimu ifutwe! Nani acyejua uwezo wao kila mtu amesoma na mtu, so anajua kabisa kama huko alipo anafanya kazi au anafanyiwa kazi!
 
hawa wa 49 points naona wanaanza kutoa povu humu jamvini. mulugo product n janga kwa taifa
 
wewe kama umefeli form 4 ndo uangushie mizigo walimu,kuna kitu kijana kinaitwa falancy of generalization,kisa umektana na mwalimu mmoja hajui eti ukaconclude ni wote,ifike wakati ujitambue.
 
" Walimu wengi hawana vigezo na hawana uwezo wa kufundisha",kwa wanaomponda mtoa mada angalia kwenye red hajasema WOTE amesema WENGI.......any way anaweza akawa wrong somehow ingawa ukweli mchungu pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…