baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu
Haijalishi ww chonga tuuu sisi tunapiga kazi kwan wote wanaokosea huwa hawajafanyiwa usaili? then je yule daktar alikosea chumba cha upasuaji akampasua mtu kichwa badala ya goti tena ni Tz je mbona husemi kila siku walimu tuu vp mbona hutetei maslahi yao. Kama haitoshi je wale wahasibu wanaokamatwa wamekosea mbona husemi au ww unatatizo na walimu kwani ulitaka wakufanyie mtihani ufaulu kama umefeli ni ww acha ss walimu tufanye kazi yetu