baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu
nani asiyejua kuwa last option kwa wengi ni kusoma ualimu matokeo yasipofikia lengo,ni walimu wachache tu ndio ni cnmpitent ila walio wengi hawawezi hata kufundisha kwa sababu walipita katika mfumo usiofaa,hili nalo linahitaji kuangaliwa upyaHivi mmekosa vya kujadili au mana kila siku waalimu,nimegundua mnatuonea donge sana nyie watu,
baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu
ndo wachukue wote kama kokolo. naona inafaa utaratibu wa kuwaajili uangaliwe upya maana wengine ni chanzo kwa watoto kufeli mana hawaeleweki kabisa darasaniUalimu pasipo Elimu. Ndo ajira ya uhakika TZ, Ukisomea tu unajua utapata Kazi
ubunge siyo taaluma mpaka nayo utake interview,huu ni uwezo mdogo wa kufikiria na pengine ni kwa sababu ya ubovu wa elimu yetu kwa sababu ya walimu waliokufundisha,naelewa matatizo katika sekta zingine pia lakini mada niliyokuwa nimenuia kuianzisha ni ya walimu na ajira zao bila interview na athari zake ili tuone tunaokoaje hii sektaKwani wabunge wote wanawakilisha matatizo ya wananchi wao? Si wapo wanaoenda kusinzia bungeni? Madaktari wote wanaponya wagonjwa? Hakuna anaezembea hadi mgonjwa akafa? Polisi hawali rushwa? Kama wanakula walifundishwa kula rushwa? Hivyo hivyo kwa walimu si wote wanauwezo wa kufundisha na kueleweka. Kama utataka wawe wanapema interview kwanza ndio waajiriwe basi iwe kwa watumishi wote.
hawa ndio aina ya walimu ninaowaongelea,hujui hata kutete wala kujenga hoja juu ya kinachofanyika kama unakubaliana nacho,wewe kwa akili yako unaweza kunishawishi kuwa ni sahihi walimu kuajiliwa bila interview?achana nae akili zake zimeamia chini ya kitovu zinasimama na kusinyaa kama mnara wa simu!
hawa ndio aina ya walimu waliopita kwa upenyo usiotumia interview,Huyu mtoa post ni MSENGENYAJI. Hivi waalimu si wanatahiniwa zaidi ya mara 4 au 6? Halafu huyu atakuwa ni mwangafunzi tena backbencher. Anatumia kalio kufikiria na bongo hazimtoshi.
na wewe ni mwalimu uliyekosa uwezo wa kujenga hoja na kufikiri,unaishia kutukana,JE NI SAHIHI WALIMU KUAJILIWA BILA INTERVIEW?Huyu mleta uzi hana tofauti na samaki anayeitwa KAMBA KOCHI.sifa kubwa ya huyu samaki ubongo na mavi zipo pamoja kichwani,kwa hiyo hapa ametumia ma....na sio ubongo.#NYAMBAFU .
kushindwa kujenga hoja ni ushahidi tosha kuwa wewe ni moja ya walimu wasio na uwezo kabisa maana defensive mechanism kwako ni matusi.Mkuu hiyo NYAJI ondoa umpe jina la neno linalobaki.Huyu M..se... ana akili fupi kama maisha ya funza.
Naunga mkono hoja! unakuta mtu ana BAED kaspecialize mambo ya ACCOUNTING kichwani hamna kitu mimi naona kuwe na interview tu waombe hata watu wa Bachelor of arts in accounting ,waone kama hawajapigwa chini na degree zao za EDUCATION
assesment haina kabisa uhusiano na interview unapoajiliwa,hiyo ni sehemu ya kupata elimu ukiwa shule na hakuna anaefeli assesment,alafu assesment inafanyika kwenye field ambapo hata kozi zingine zote wanafanyiwa na bado wakienda kuajiliwa lazima wafanyiwe usaili ila walimu hawafanyiwihajui chochote kuhusu ualimu! hivi anajua maana ya "assesment"? huyu
"Ualimu pasipo Elimu" unamaanisha nini? Toa ufafanuzi kidogo mkuuUalimu pasipo Elimu. Ndo ajira ya uhakika TZ, Ukisomea tu unajua utapata Kazi