Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,812
- 1,373
hakuna batamaji anaetumia jamiiforum,inaelekea hukusoma hata biology,sina sifa za kuwa batamaji,a beefwitted teacher has this poor way of arguing
hapa ni sawa,no one is responsible,na sidhani kama yupo hata mmoja aliyeshindwa kupenya hiyo probation period,lakini wasiostahili kabisa wamo kibaoHata walimu wana kipindi cha kuangaliwa aka probation Kwa mwaka 1 ukikidhi vigezo unathibitishwa kuwa mwalimu . Nachelea kusema hayo hayafuatiliwi sana mipango ni mizuri sana ila utekelezaji ni tatizo. Sekta nyingi Za serikali zinaendeshwa Kwa namna inayotishia wa taifa hili.
sijawahi kutafuta umaarufu sehemu yoyote,hayo ni mawazo yako,niko huku toka zamani sana wala sijaja saizi. huko MMU hukuniita,nilikuja kwa mapenzi yangu na bado napafurahia japo siweki mada na nitaweka mada muda wowote nikiona inafaa,huwezi kunipangia niwe wapi kwa sababu zakoUmekosa umaarufu MMU sasa umeamua kuutafuta jukwaa hili! Umebugi !!!
inawezekana ndio mwanzo wangu wa kufikiri ama mwisho wangu wa kufikiri,lakini huwezi hata kujaribu kulinganisha na mimi IQ yako hata kidogo in any aspects,and i can prove you this here on kama utabisha,uniwekee vigezo vyovyote unavyohisi vinaweza kutoa ulinganifu wa IQ yangu na yako kama hujakimbia hapa. kisa mwalimu unakuja hapa kubwatuka,wewe ndio wale wasio na uwezo waliofaulu kwa kuungaunga na ninaamini huna uwezo wa kufundisha maana unaonekana kutaka kukwepa interview kama ikiwa ikiamuliwaHuo ndio mwisho wako wa kufikiri eeeh ?!!
wala sihitaji pole yako.Wacha nikupe polee!!
kama haina mashiko si ungejenga hoja kuonyesha udhaifu wa mada yangu kama ningeshindwa kuiteteaInfact mada yako HAINA MASHIKO peleka kwenye vijiwe vya kahawa!!
wala sikuhitaji na wala sijawahi kukuhitaji,na sijawahi kumhitaji msichana yeyote humu ndani na nilishasema toka MMU,ukiwa na akili sawasawa huwezi kuja kutaka mtu wa mtandaooni.Humpati mtu hapa!!
niliyoyaeleza si kejeli,nimeeleza ukweli na nimekutana na walimu wengi wa aina hii,ulitaka niandike nini ili uone ni hoja?this a problem to argue with a tabularasa. si ungeainisha kiaje sina hoja,ukipitia michango ya walimu wengi hapa utagundua wana uwezo mdogo sana ukiwemo wewehoja hujeengwa kwa hoja, kejeli kwa kejeli n.k, hujatoa hoja hapo ndo maana nikakuita punga
niliyoyaeleza si kejeli,nimeeleza ukweli na nimekutana na walimu wengi wa aina hii,ulitaka niandike nini ili uone ni hoja?this a problem to argue with a tabularasa. si ungeainisha kiaje sina hoja,ukipitia michango ya walimu wengi hapa utagundua wana uwezo mdogo sana ukiwemo wewe
baada ya kukutana na walimu wengi wasioweza kabisa kufundisha na hawaeleweki darasani,mwisho nimebaini wengi wao hawastahili hata kuajiliwa,mfumo wa kuwaajili bila interview kama matakwa ya ajira nyingi ndio upenyo wa mamia wasiofaa kuajiliwa ualimu
Watakuwa wanasomea kutukana watu na lugha chafu....ungekuwa umewahi kusomea ualimu usinge andika ushuzi wako humu mnduku wewe, hivi unaelewa asesmnt ina maana gani vyuo vya ualimu?? Una elewa btp huwa kinafanyika kitu gani huko??au umekurupuka kutoka kwene hogo la jang'ombe ndio mana akili imevurugika? Embu fuatilia kwa makini vyuo vya ualimu wana soma nini na wana fanya nini ndio uje na ushuzi wako hapa.