Dah how come tena inakuwa assumption wakati unasema yapo? Unaelewa unachoandika au umeshindwa kujibu ulichoulizwa?
Kijana kwanza nakushauri kitu kimoja kama unashahada basi hiyo shahada niya kichina coz umeshindwa kugundua kuwa sio kila mwaka wahitimu wanatofautiana kitakwimu.
Mfano mwaka juzi ambao wameajiria mwaka jana cheti walikua 12675,diploma walikia 5675 na shahada walikua 17546.
But kwa mwaka jana wahitimu walikua.
Cheti 10456
Diploma 4161
shahada 12768
sasa ukifanya mahesabu hapo utagundua kuwa bado idadi iliyotajwa na Tamisemi ina sawiri uhalisia kutokana na wahitimu wa vyuo mwaka jana.
Naomba kuwasilisha.
Chanzo : necta na Nacte
Mkuu niliwah kutoa hoja kama hii, nikabezwa xanaa ooh takwimu sio za kisomii,, oooh acha wivu,, usemalo laweza kutokea bt tutaamin hv punde wakitoa majina,,
mkuu idadi ya wahitimu kwa profeshen mbalimbali imekuwa ikiongezeka ndio maana nikatumia takwimu za mwaka juzi kama ni hivyo sawa yote kheri japo huko nacte sijaona hizo data zako ukiweza nipa link i will be gratefuly.
pamoja sana
''Tayari tumepeleka maombi ya 'zaidi' ya walimu 30,000' kule utumishi na wakati wowote tunasubiri kibali hicho kutoka. (Kassim Mjaliwa, W-Tamisemi). Hapo ndio mnapochangaya watu takwimu zako sijui zimezingatia tamko hili la waziri?
Nashauri tusubiri serikali itangaze hayo majina mtu ndio ajue ameajiriwa au la? Ila sijaona logic ya thread yako na takwimu zako ni za kufikirika zaidi.
Labda nikusaidie kunielewa nilichokisema, ni hiviii..kati ya walioajiriwa hao 36000 wamo ndani yake waajiriwa wengine waliogundulika baadae kuwa waliomba ajira mpya tayari wakiwa ni waajiriwa, hivyo waliitia serikali usumbufu maana database ikawagomea walipoenda kuripoti vituo vipya hivyo wakaambiwa warudi kwenye vituo vyao vya mwanzo.We mtoa post pumba kweli, unajua ni vibali vingapi vilivyotolewa kwa waajiliwa wa diploma kwenda chuo 2011 zaidi ya vile vya 2010?
2010 ni 20+, kati yao walimu degree 9000+
2011 265+ huku walimu 3568, so toa takwimu real
kapeleka maombi ya walimu zaidi ysa elfu 30000/,lakini hajajibiwa atapewa wangapi
Ndio waitimu wa mwaka huu wamepungua so assumption za serikari may be zinalenga idadi ya wahitimu waliopo
hoja yangu ni kuwa walimu 10k+ watakosa ajira mwaka huu assumption zako ni kuwa graduate wamepungua mwaka huu kutokana na vifo, kufeli, kwende profeshen nyingine ninachosema upo wrong kwakuwa hizo assumption sio exclusive kwa mwaka huu tu hata miaka ya nyuma hayo yalikuwa tokea na tulikuwa na graduate wa ualimu 36000 kitu ninachoamini na sasa wapo hivyohivyo au idadi imeongezeka kama ilivyo kwa profesheni.
Sina mkuu my assumption ni kuwa idadi ya wahitimu ni ileile nilashema kwenye post yangu mwanzo kama wewe unazo hizo data sio mbaya ukatujulisha nakubali kurekebishwa.
kapeleka maombi ya walimu zaidi ysa elfu 30000/,lakini hajajibiwa atapewa wangapi
Uwe na adabu kijana hizo bolded ni takwimu real si ndio.We mtoa post pumba kweli, unajua ni vibali vingapi vilivyotolewa kwa waajiliwa wa diploma kwenda chuo 2011 zaidi ya vile vya 2010?
2010 ni 20+, kati yao walimu degree 9000+
2011 265+ huku walimu 3568, so toa takwimu real
Jaman walimu wa mwaka huu kazi mnayo, maana kila mtu anakuja na script yake na hiyo sinema waalimu wanakuwa soft kuicheza. Ninachowashauri hata mtu akija akasema walimu 20,000 watakosa ajira nyie sehemi ahsante mkuu kwa taarifa. Halafu muisubiri Tamisemi.
Kwa hiyo wewe unapingana na tamisemi? Iwapo tamisemi imetoa tamko hilo ww ni nani wa kukanusha?.kama haupo up to date sio lazima u comment Mkuu
Hapo waalim mtasubir sana ajira bado...