Walinzi tunaosimamia Vituo vya Mwendokasi hatujalipwa mshahara kwa miezi mitatu, tukifuatilia tunapigwa danadana

Walinzi tunaosimamia Vituo vya Mwendokasi hatujalipwa mshahara kwa miezi mitatu, tukifuatilia tunapigwa danadana

Nyakijooga

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2018
Posts
276
Reaction score
473
Wakuu salamu

Mimi Mfanyakazi kutoka Kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu katika Vituo vya Mabasi ya Usafiri wa Haraka (Mwendokasi) (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila Wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani Wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.
Snapinst.app_244438531_394636312369200_3730196572983361822_n_1080.jpg
Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es Salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu.

Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.

UPANDE WA KAMPUNI
JamiiForums
imewasiliana na Afisa wa Kampuni hiyo, Berry Makoyola, alipoelezwa kuhusu madai hayo amesema:

“Nimesikia na nimeelewa ila siwezi kujibu hoja hizo, nitaziwasilisha kwa mhusika ambaye ana mamlaka ya kutoa majibu ya Kampuni kuhusu madai hayo.

Majibu ya Kampuni soma hapa ~
Kampuni ya China Tanzania Security yafafanua madai ya Walinzi wa Vituo vya Mwendokasi kutolipwa mishahara ya miezi mitatu

Pia soma ~ Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi
 
Wakuu salamu

Mimi mfanyakazi kutoka kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu ya vituo vya Mabasi ya Mwendokasi (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.

Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu. Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.
 

Attachments

  • VID-20250128-WA0033.mp4
    3.9 MB
Wakuu salamu

Mimi mfanyakazi kutoka kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu ya vituo vya Mabasi ya Mwendokasi (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.

Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu. Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.
sasa mnashindwa nini kugawana mbao? kama nyie ndio mnasimamia kila kitu kwanini msichukue makusanyo ya nauli kwa siku mkajilipa then msepe? nyie wawapi askari mnalalamika kama raia hii mbona haijakaa sawa.
 
Poleni Sasa
Ila Hapa JF, Umeleta Sehemu Sahihi Haki Yenu Mtapata
Waziri, Mkuu Wa Mkoa, Mkuu Wa Wilaya Bado Wapo Ofisini Tu
 
Wakuu salamu

Mimi Mfanyakazi kutoka Kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu katika Vituo vya Mabasi ya Usafiri wa Haraka (Mwendokasi) (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila Wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani Wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.

Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es Salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu.

Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.

Pia soma ~ Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi
Tunamshukuru sana mama kwa kutolipwa mishahara yetu kwa miezi 3
 
Mama anaupiga mwingi, mshahara wenu umetumika kuchangia mabasi ya chama
 
Wakuu salamu

Mimi Mfanyakazi kutoka Kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu katika Vituo vya Mabasi ya Usafiri wa Haraka (Mwendokasi) (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila Wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani Wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.

Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es Salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu.

Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.

Pia soma ~ Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi
Na nyie jiongezeni, usiku pangisheni shotitaimu, wateja tupo wengi tu.
 
Unakuta mshahara ni 150k alafu hyohyo hulipwi miezi 3,hii Dunia haipo fair kabisa.

NB.nawashauri vijana wenzang Tz uchawa unalipa kuliko hata kilimo na biashara.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Inakuwaje mtu na akili zako timamu ufanye kazi bila mkataba wa maandishi?
Kuna mifisadi ya CCM mistaafu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vina hisa kwenye hiyo kampuni ndio wabaya wenu.
Adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenzake
 
Inakuwaje mtu na akili zako timamu ufanye kazi bila mkataba wa maandishi?
Kuna mifisadi ya CCM mistaafu kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vina hisa kwenye hiyo kampuni ndio wabaya wenu.
Adui wa Mtanzania ni Mtanzania mwenzake
Huwezi kupatana unapokuwa una njaa ndicho kinachowakuta.
 
Wakuu salamu

Mimi Mfanyakazi kutoka Kampuni ya China Tanzania Security (CT) ambayo inahusika na usimamizi wa miundombinu katika Vituo vya Mabasi ya Usafiri wa Haraka (Mwendokasi) (DART) pamoja na usalama wa abiria wanaopata huduma kupitia vituo tunavyohusika navyo ikiwemo Mbezi Luis, Kimara na Gerezani.

Nikiwa nawakilisha wenzangu wengi naleta hoja yangu kwa masikitiko makubwa, ni kwamba sasa ni miezi mitatu imepita bila Wafanyakazi kulipwa stahiki zetu yaani mshahara, tunaishi kwa tabu sana takribani Wafanyakazi 200 wote kilio chetu ni kimoja.

Tumejaribu kufuatilia hata kwa viongozi ikiwemo kwa HR lakini hatupati majibu yanayoeleweka huku siku zikiendelea kusonga, tunaofuatilia zaidi tunaambiwa kama hatuwezi kufanya kazi na kampuni hiyo basi tukabidhi mavazi ili tuache kazi.

Lakini changamoto kubwa nyingine tunayokutana nayo kwenye kampuni hii, wamekuwa wagumu kutoa mikataba ya maandishi badala yake wanatoa mikataba kwa midomo huku wakiahidi kutoa ya mikataba kwenye maandishi lakini hawafanyi hivyo ni danadana tu, mfano mimi binafsi nimefanya kazi takribani miaka miwili na kampuni hiyo lakini sijawai kupewa huo Mkataba wa maandishi.

Tunaomba tusaidiwe katika hayo, wengi tunafahamu kwa maisha ya Dar es Salaam bila kulipwa fedha kwa miezi mitatu maisha na Mtu ana familia hali inavyokuwa ngumu.

Hali hii inaweza kupelekea wengine kuanza tabia za udokozi au wizi kwenye maeneo yao ya kazi licha ya kuwa sisi ndio tunategemewe kuhakikisha usalama wa miundombinu na mali za abiria vinakuwa salama, tunaweza kujiuliza usalama unapatikanaje kama watu hawalipwi stahiki zao.

Wito wetu kwa wahusika tunaomba watulipe pesa zetu zote lakini kama inawezekana mamlaka husika ziwafuatilie kwa ukaribu zaidi ili vitendo hivi visiendelee kwa kuwa vinakiuka haki za wengi na kuongeza mazingira ya hofu kwa wafanyakazi walio wengi.

Pia soma ~ Upigaji, utapeli, uliojifichika kwenye kofia ya Kampuni Binafsi za Ulinzi
Itasababisha kuhujumu miundombinu.kama kuna kitu cha kuto kucheza nacho ni kukindwa na mlinzi mwenye njaa.Hasa kama hiyo njaa umeisababisha wewe unayelindwa
 
UPANDE WA KAMPUNI
JamiiForums
imewasiliana na Afisa wa Kampuni hiyo, Berry Makoyola, alipoelezwa kuhusu madai hayo amesema:

“Nimesikia na nimeelewa ila siwezi kujibu hoja hizo, nitaziwasilisha kwa mhusika ambaye ana mamlaka ya kutoa majibu ya Kampuni kuhusu madai hayo.
Huyo Afisa mwenyewe hajalipwa mishahara miezi mitatu ndio maana akatoa hilo jibu
 
Back
Top Bottom