jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 4,888
- 6,459
Wao ni walinzi tu ni sawa na Walinzi wa Bank au Stand au Sokoni.sasa mnashindwa nini kugawana mbao? kama nyie ndio mnasimamia kila kitu kwanini msichukue makusanyo ya nauli kwa siku mkajilipa then msepe? nyie wawapi askari mnalalamika kama raia hii mbona haijakaa sawa.