Walinzi wa Chriss Brown ndio waliomzimia microphone Ali Kiba

Naomba dikishonari... Sijaelewa aisee..
 
Tho mimi sio fan sana wa ali kiba but napenda kuona mziki wa tz ukienda mbele.Kama ni kweli crew ya chriss brown ilifikia kufanya hivyo basi nawalaumu organizers kwa kutoplan mda vizuri mpaka mda wa msanii unaisha kabla ya kumaliza performance yake.
 

Hatutaki kiki sisi kama wachawi classic baby
 
Zengwe lipo hapa kwenye haya maneno.
 
Nyinyi ndo mmeikuza hii mada yeye hajasema directly kama kazimiwa mic na sallam bali alihoji alienda kufanya nini backstage
 
kweli Watanzania vilaza hii comment nimeikuta jana kwenye page ya mzazi will kule FB wewe umefanya copy n paste na kujifanya kama yako nahisi hata hiyo lugha ya malkia inakupa shida mashabiki wa domo wengi
wanatumiwa kwa tigo 4G.
 
“Go tell that man (Ali Kiba) to leave the stage in less than two minutes or else we will physically get him out of the podium,” Chris Brown’s security was heard,
sasa mbona anamsingizia meneja wa mondi kumbe mwenyewe alijichelewesha kupanda kwa stage ndo maana wakamzimia mic walinzi wa Chriss
 
Unataka kunambia breezy hamjui king kiba wakati ashawahi kuimba na r.kelly
Mbona sijaona sehemu wamesema hamjui ali kiba? Wanasema walinzi walitamka maneno ya kumuondoa stajini sidhani kama tafsiri yake ni kuwa chris hamjui ali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…