The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Magu yupo wapi now na kulindwa kote.., tumuache mzee apumzike na mama aendelee na kazi fullstp.Wengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa๐๐ ๐๐! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
Huyu mshikaji wa kulia kila nikitua serengeti, yupo.sijui kwa niniโท
Kwa hiyo unajiona mjanja sana kutoa komenti kama hii. Dah wasukuma mnashida sana. Nenda chato kaabudu huyo mungu wenu.Wengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa[emoji38][emoji28][emoji16][emoji16]! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
Hebu fafanua!Huyu mshikaji wa kulia kila nikitua serengeti, yupo.sijui kwa niniโท
Yupo kama anaishi hapo kwa muda.Hebu fafanua!
Serengeti bar au national park?
Unajua kuongea sanaMbona wanasura za kichumba tu!
Wanaume wa dasilamu mna shida gani kwani?
Dah hii comment imenidindisha mrembo smart.Unajua kuongea sana
Umemzidi Mpk Mama Ako.
Wengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa[emoji38][emoji28][emoji16][emoji16]! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
Hiyo ndio safi inabidi ukiwa kiongozi uweze kuingia kitaa bila wasiwasi. Ndio maana nchi kama Norway waziri mkuu anapiga pedal baiskeli anaingia kazini na hakuna anayemshangaa, Iran raisi mstaafu Ahmed Nejad anapanda usafiri wa umma karudi kuwa mwalimu wala hakuna anayemshangaa.Wengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa๐๐ ๐๐! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
wako wapi sahivi, bwana asipoulinda mji wakeshao wakesha bure, mlinzi wa kweli ni mwenyenzi Mungu tu.
Hivi kumbe we ni mpumbavu kiasi hicho? Magu alikuwa ana nini? Kafiche huo upumbavu wako we zuzuWengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa๐๐ ๐๐! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
Mamako ana issue gani hasa, angekuwa na issue angezaa kioja km wewe? Pumbavu huna adabu. Samia ni figure ya dunia yuko miongoni mwa wanawake 100 maarufu duniani. Jana alivyokuwa anapewa heshima zake na jeshi ulikuwa umelala? Samia ndiyo rais na amiri jeshi mkuu chuki zako za kipumbavu hizo hata umeze wembe hazitasaidia.Wengine wanacopy! Magu alikuwa unique kwa kila kitu! Mimi namchekaga mama akionekana amezungukwa na mamijamaa eti imeshika silahaa๐๐ ๐๐! Mama SSH ana issue gani mpaka alindwe? Ni mwepesi sana hata akitembea kwa mguu mtaani sana sana watu watakuwa wanamwangalia na kucheka
hao mazuzu hata ungewaambia vp, hawawezi kuelewaUnahisi aliwateua yeye? Hao alipewa tangu anateuliwa na CCM 2015