Walinzi wa Rais wa Kenya walivyokufa kirahisi

Alaa!kumbe ndio maana wanaua wasomali wa watu hovyo?sikujua hilo
Rais wao mwenyewe amesema hiyo ajali ni "unnenecessary"
Ni unnecessary kwa sababu kwa muda huo hilo lorry la mafuta halikutakiwa kutumia hiyo barabara,so kuna uzembe wa traffic police hapo.
Ingekuwa bongo mpaka saa hii sio ajabu angekuwa ametumbuliwa mtu.
 
Sasa wapi hapo nimesema kwamba askari wetu wa RECCE miili yao ina uwezo wa kuvumilia moto wa kemikali.
angalia huo mchoro,ulivyohadithia uwezo wa fulana zo kuwa hazipenyi moto
 
Utawadanganya wakamba wenzio
Mbulula kama hawa eti ni walinzi wa Rais wa kenya
Aliemwambia ukitoa mimacho ndio utamtisha gaidi ni nani

huyo ni security ya kawaida, wale wa kusongesha songesha watu .... hana bunduki wala nini, sa sioni lolote la makosa hapo analofanya, amepose kupiga picha ya ukumbusho...

Recce ni hao waliovaa masuti hapo kando... Wale recce wengine hio siku walikua na mabunduki na wamejihami kupindukia.... Wakati Obama alikuja TZ, makomando wenu walikua hawaaminiki hadi walikua hawaruhusiwi kusongea hata karibu na Obama...hahahaa..full mijungu

Hebu sasa tuambie vipi jinsi hawa wanajeshi wenu alivyofariki kwa kugonga kijumba cha tatope, tena huko ndani ndani kwa barabara ya mchanga, hakuna gari lingine, hakuna mlipuko wowote, ni gari la kijeshi APC linagonga nyumba ya matope na wanajeshi watatu wanafariki!!!!! yani hata kupeleka gari wakiwa pekeyao kwa barabara bado wanafariki, je ukiwaeka kwa barabara ya lami ambapo kuna magari mengi yanapitana si hii itakua disaster!!
PICHA NA TAARIFA:WANAJESHI WA 3 WA JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA NA RAIA 1 WAFA KATIKA AJALI YA KIFARU MTWARA | H@ki Ngowi
 
angalia huo mchoro,ulivyohadithia uwezo wa fulana zo kuwa hazipenyi moto

Fulana inapunguza makali ya risasi, lakni moto wa kemikali ni kama bomu. Huo moto uliuguza kila kitu maana haukuwa wa kawaida.
Tatizo nyie wana Lumumba mkishaaminishwa kama nyumbu hamtumii akili zenu za ziada. Humu hata Watanzania wenzio wamekukatalia na kujaribu kukusaidia japo utumie ubongo wako kufikiria lakini umeng'eng'ania kama chizi.
Naona hata mimi sitoweza kukusaidia ikiwa Watanzania wenzio wamekushindwa, kwaheri.
 
Kinachokusumbua kichwa ni udin tu wala sio kingine
 
Ingekuwa ni bongo, hadi sasa moto ungekua wateketea maana wazima moto wangekua hawajawasili... Mlichukua siku ngapi vile kusaidia manusuru wa mtetemeko wa ardhi?
 
A truck carrying Chemicals lost control crushed into 12 cars on a traffic jam and exploded into a ball of fire Lakini ongeeni tu mtapata chenu nyinyi!!
 
Trying to score cheap points upon a tragedy is pure evil ...i just cant
a person who derives pleasure in others' demise is nothing but a pure sadist. There is patriotism for one's country and there is being a pure psycho. I'm certain based on the guy's thread we know where exactly he falls under. As a point of clarity, I'm proudly Tanzanian but I will never rejoice on anybody's demise in the name of patriotism.
 
Tofautisha kati ya mwanajeshi wa kawaida na RECCE.Fanyeni uchunguzi msitetee uoza
 
A truck carrying Chemicals lost control crushed into 12 cars on a traffic jam and exploded into a ball of fire Lakini ongeeni tu mtapata chenu nyinyi!!
Kenya mnajitapa ndio no1. katika logistics.
Procedure za kubeba kemikali ni tofauti na kubeba takataka.Inakuaje gari imebeba kemikali haina escort,hakuna gari ya kushughulika na explosive nyuma yake?Huo ni uzembe wenu msisingizie ajali haina kinga
 

ajari barabarani tanzania







Ajali ya Ndege ya Tanzanair Lake Manyara






Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa kuamkia katika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…