Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaya shineshoNsogi go nvaa? Mashii gakoo
Nsogi go nvaa? Mashii gakoo
Angekuwa mpambe wa trump wangemzuia? Mbona mazishi ya malkia marais wa afrika waliwekwa kwenye coasterIla hii nchi inadhauliwa sana aisee....🤨
Hahaha tombanebhe nyii o mashi bheNsogi go nvaa? Mashii gakoo
Kwani anasagana?Rais wa Liberia ndio amewasili leo!
Nilikua namsubiri sana nina mazungumzo nae😊
Kuhusu usagaji au? Trump anakutafuta kwa udi ma uvumba mkuu..😄😄Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
Usagaji umeingiaje hapa?ushakunywa mataputapu auKuhusu usagaji au? Trump anakutafuta kwa udi ma uvumba mkuu..😄😄
Alikuwa na kiasi gani cha ndevuSintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
Boxing day.. Mambo ya kutunishiana misuli😂Msafara wa Rais wa Liberia umesimama kwa muda baada ya kutokea purukushani wakati anaingia getini JNICC. Sintofahamu hiyo imetokea au imeletwa na wanausalama wa Tz walipokuwa wanamzuia kuingia ndani yule mpambe wa Rais anayebeba kibegi. Imebidi matangazo yakatwe kwa muda
Safi tu, kwanini kwenye kundi la marais zaidi ya kumi yeye ndie aje kavaa kijeshi na Pistol kiunoni, fresh tu asuse hivyo hivyoKwa taarifa tu,hicho kisa ni miongoni mwa kilichomfanya Rais wa Burkina Faso asije Tanzania.wanausalama wa Tanzania walitoa masharti lukuki ikiwemo eti jamaa aje akiwa kavaa kiraia...
Hata hivyo anajua tu hicho kikao hakina maana yoyote, anajua waafrika wenzake wakishashiba huwa wana spit pumba, ndiyo maana yule wa kule visiwa vya mbali alipewa nafasi ya kupiga blaah blaah wakati wazungu wameenda kwenye maakuli, tunafanyaje sasa? Magufuli pia alikuwa haendekezi vikao vya namna hii, maana aliona kama ni uginger tu.Safi tu, kwanini kwenye kundi la marais zaidi ya kumi yeye ndie aje kavaa kijeshi na Pistol kiunoni, fresh tu asuse hivyo hivyo
DuhHata hivyo anajua tu hicho kikao hakina maana yoyote, anajua waafrika wenzake wakishashiba huwa wana spit pumba, ndiyo maana yule wa kule visiwa vya mbali alipewa nafasi ya kupiga blaah blaah wakati wazungu wameenda kwenye maakuli, tunafanyaje sasa? Magufuli pia alikuwa haendekezi vikao vya namna hii, maana aliona kama ni uginger tu.
We ni mgeni hili jukwaa.... so hata mtoa mada humjui... Ndo maana unaona hata yeye hajibu.Usagaji umeingiaje hapa?ushakunywa mataputapu au