Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

Lile tukio nililitizama kwamuda ila wale walinzi wa Rais wa Liberia ndio walitaka kuleta sintofahamu maana kama ulifuatilia utaratibu ulikuwa mzuri ila wao walitaka kuleta mambo zao ila mpaka mwisho wao wenyewe walisanda
 
Kuhusu usagaji au? Trump anakutafuta kwa udi ma uvumba mkuu..😄😄
 
Mwenye video aweke tuone makamanda wetu wanavyotoa dozi
 
Boxing day.. Mambo ya kutunishiana misuli😂
 
Kwa taarifa tu,hicho kisa ni miongoni mwa kilichomfanya Rais wa Burkina Faso asije Tanzania.wanausalama wa Tanzania walitoa masharti lukuki ikiwemo eti jamaa aje akiwa kavaa kiraia...
Safi tu, kwanini kwenye kundi la marais zaidi ya kumi yeye ndie aje kavaa kijeshi na Pistol kiunoni, fresh tu asuse hivyo hivyo
 
Safi tu, kwanini kwenye kundi la marais zaidi ya kumi yeye ndie aje kavaa kijeshi na Pistol kiunoni, fresh tu asuse hivyo hivyo
Hata hivyo anajua tu hicho kikao hakina maana yoyote, anajua waafrika wenzake wakishashiba huwa wana spit pumba, ndiyo maana yule wa kule visiwa vya mbali alipewa nafasi ya kupiga blaah blaah wakati wazungu wameenda kwenye maakuli, tunafanyaje sasa? Magufuli pia alikuwa haendekezi vikao vya namna hii, maana aliona kama ni uginger tu.
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…