Walinzi wa Rais wa Liberia na maafsa usalama wa Tanzania nusura wazichape, msafara wasimama kwa muda, matangazo yakatwa

Nmeangalia tbc live sjaona, youtube kuna video ya masaa 9
 
Jamaa tujifunze kupitia vitu vichache, muwe basi hata bbc viongozi wanapotembelea nchi zingine. Mambo yapo hayo.
 
Walinzi wa Rais wa Tz ni unprofessional sana kila mtu yuko hapo kwasababu Baba yake alikua na urafiki na mkuu wa sehemu flan au anajuana na mkuu fulani, huwa wanaleta taharuki hata mikoani kwenye ziara nyingi fujo wanaanzisha wao
 
Kwa taarifa tu,hicho kisa ni miongoni mwa kilichomfanya Rais wa Burkina Faso asije Tanzania.wanausalama wa Tanzania walitoa masharti lukuki ikiwemo eti jamaa aje akiwa kavaa kiraia...
Maelekezo ya mabeberu, TZ(CCM) haiwezi kwenda kinyume na matakwa ya mabeberu.
 
Safi tu, kwanini kwenye kundi la marais zaidi ya kumi yeye ndie aje kavaa kijeshi na Pistol kiunoni, fresh tu asuse hivyo hivyo
TZ imepigwa biti na donors, TZ ni chawa wa mabeberu.
Western Countries wanashangaa popularity ya msela yule inavyokua kwa kasi, mpaka Caribbean islands jamaa ni popular kinoma na kwa conscious blacks wa North America na European countries.
 
Habari tuzipendazo kusikia
 
Kwa taarifa tu,hicho kisa ni miongoni mwa kilichomfanya Rais wa Burkina Faso asije Tanzania.wanausalama wa Tanzania walitoa masharti lukuki ikiwemo eti jamaa aje akiwa kavaa kiraia...
Kwa nini asitokee kibabe kama alivyofanya Ghana siku hiyo hiyo ya uapisho?

Sema hakuna kama mkutano ni WA muhimu kwake
 
Acha uongo ni kwamba hakuja tu kwasababu zake ikiwemo tu kwamba kaona ni kikao cha kipuuzi tu
Lingekuwa Cha kipuuzi angekuwa amepeleka umeme Vijijini kwake,ameondoa waasi,njaa zimeisha na umaskini mwingine uliojaa huko Burkinabe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…