Walinzi wa rais wetu fitness yao vipi?

Matumbo ya walinzi wa Tanzania ni makubwa mno sijui kama wanaweza kimbia.


swissme


Nakushauri, ukakwapue au ukachukue kitu cha Rais anapokuwa anatembea au katika jukwaa ndiyo utaelewa mbio zako na zao kuwa ni nani ana mbio.

Ila na wakati huo, naomba uwe umeisha gawa urithi au umetoa fedha zako zote kama unazo kule NMB aliposema mkululuo, tuzitunze ili tunaobakia tusitoane roho kwa mali unazoziacha kama baba wa familia.

Ni hayo tu.
 
Daaaahh kiukweli sijui kama mkulu yuko salama sana halafu Mara nyingi huwa wawili wakizidi wanne Jamaa wanene sana kiukweli wapunguze kula Akitokea MTU mwenye speed za Bolt sijui kwakweli MUNGU tuepushe na Balaa
 

Safi kwa.nondo Kali hii.
 
Daaaahh kiukweli sijui kama mkulu yuko salama sana halafu Mara nyingi huwa wawili wakizidi wanne Jamaa wanene sana kiukweli wapunguze kula Akitokea MTU mwenye speed za Bolt sijui kwakweli MUNGU tuepushe na Balaa

Acha kujiogopesha, hao jamaa ni moto wa gesi usicheze na hiyo kitu.

Ni bora ukachezee chui au simba kule mbuga za.Serengeti na siyo hao . Utakufa ukijiona aisee.
 
Mwingine alipiga KARATE siku ya uhuru, wanasema ni mwl wa makomandoo na ANABONDA kichizi pamoja na kwamba ana kitambi cha hatari.

Nb"Sijabisha kwamba anabonda balaa.
Hayo majamaa yana vitambi lakini mepesi kinyama
 


Aiseee,

Wewe umeisha fariki japo bado unatembea kama hayo ndiyo mawazo yako .
 
Amenena vyema ila hajajibu swali langu la ubora wa walinzi wetu

Hao jamaa,. Ni bora.ukachezee simba na chui pale Serengeti ila.siyo hao.

Na ukumbuke, hao hawafundishwi kupiga bali ni kuua tu , akikupiga ukapona hilo anakuwa amekosea sana, kwa mikono, siraha, kung"oa kucha bila ganzi mbio na n.k.
Is.kumbuka, wana vitengo vingi pia.
 
Mzee Mwinyi aliposhambuliwa alikuwa analindwa na watu gani? Kinachowasaidia viongozi wetu ni utulivu na nidhamu ya Watanzania.
Lkn natabiri, kwa matendo ya viongozi wetu wa leo, siku zinakuja tutaanza kuona wakishambuliwa...

Unaarika msiba nyumbani kwenu au nyumbani kwako.
Toa tu urithi ili usiache vita home/ nyumbani kwako ya kugombea Mali mfano , gari, nyumba , mashamba , n.k .
 
Mzee Mwinyi aliposhambuliwa alikuwa analindwa na watu gani? Kinachowasaidia viongozi wetu ni utulivu na nidhamu ya Watanzania.
Lkn natabiri, kwa matendo ya viongozi wetu wa leo, siku zinakuja tutaanza kuona wakishambuliwa...

Unaarika msiba nyumbani kwenu au nyumbani kwako.
Toa tu urithi ili usiache vita home.
 
Nakushauri wee nenda kawajaribu ili uijue fitness yao ilivyo maana vyakuambiwa bado hutaviamini na usiogope kuijarbu sheria
 
Namkubali capten Mrope, alipigwa na ubao mwili mzima pale uwanja wa taifa hata damu hakutoka, yaani mkomao balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…