Walinzi wa Suma JKT hawajui wajibu wao

Acha kuwapa kichwa hao wajinga.

BODABODA zinaua watu kila siku na bado wanazipanda. Hao JKT Kama wanaua watu sio sababu ya kuwaogopa. Ndio maana mnarogwa sio kila mtu ni wa kupelekeshwa.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Siwapi kichwa ila natetea uhai wa jamaa, wale watu wana stress ukiingia 18 zao wanakuua
 
Ha ha ha

Nashukuru MunGu mimi huwa nawaita ASKARI

Tena niwafundishe jambo kuanzia leo popote utapomkuta Suma jkt muite kwa jina la ASKARI utanishukuru

Kuna muda inabidi tuwafurahishe watu wenGi bila kujali wewe ni nani

Maarifa
 
Siwapi kichwa ila natetea uhai wa jamaa, wale watu wana stress ukiingia 18 zao wanakuua
Mimi mmoja alijichanganya ofisi za Brela , anajua kilichompa. Hatokuja kusahau. Sisi wengine tumeshajizira, napenda kukutana na wajinga Kama hao

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Jipime ubavu ukiona una mmudu unauwasha moto tu unamchakaza ila ukiona hautoki labda wapo nyomi unakula gundi tu unatemana nao
Maana ni ujinga kupambana vita unayojua utashindwa

Alaf busara ni kuepusha mzozo na mjinga na ukiuanzisha mzozo na wajinga na wewe unakua ni mjinga pia, kwahiyo siku nyingine we waite tu askari utaepusha mengi
 
Stress za kutaka kuwa Wanajeshi zinawaumiza, kiukweli hawa SUMAJKT wanalalamikiwa kwenye taasisi nyingi sana kwa vitendo vyao
 
Walijiunga JKT ili waje kuwa wanajeshi sasa wamekuja kuangukia kwenye Ulinzi ndio kinachowafanya wawe hivyo
 
Mlinzi ni babu masai tu , hao waliopitia mafunzo ukiwajumlisha na Garda na hizo security companies nyingine + hao suma JKT wote ni askari ‘kitaalamu hiko hivyo.

Sisi tu watanzania na tabia zetu mbaya ndio tunawaita walinzi.
Unaweza kuelezea japo kwa sentesi mbili tofauti ya mlinzi na askari. pia itapendeza ukiongezea majukumu ya kila mmoja asante
 
Nadhani viongozi Suma JKT inabidi wajitafakari endapo ile mbeleko ya kubebwa na serikali kulinda taasisi zake itatupwa hawatoweza kupewa tenda ya kulinda mahali popote.
 
Sasa kama wao sio walinzi ni akinani.?

Hio kampuni imeshafeli
 
Hawana maajqnu yeyote nilipita JKT usiwatishe watu.

Wengi wao wapuuzi tu hawana reasoning
 
Mlinzi ni babu masai tu , hao waliopitia mafunzo ukiwajumlisha na Garda na hizo security companies nyingine + hao suma JKT wote ni askari ‘kitaalamu hiko hivyo.

Sisi tu watanzania na tabia zetu mbaya ndio tunawaita walinzi.
Kwani askari kazi yake ni nini mkuu? Sio kulinda!
Na mtu anayelinda ni mlinzi.
Hata wanajeshi, polisi,n.k ni walinzi.
 
Kwani askari kazi yake ni nini mkuu? Sio kulinda!
Na mtu anayelinda ni mlinzi.
Hata wanajeshi, polisi,n.k ni walinzi.
Ni kweli Copy, ila shida ni ile kumuita mlinzi.
Binafsi naitaga tu afande nimejizoelea hivyo tokea nasoma… yan nimkute MP getini nimwambie eti shikamoo mlinzi? Kisa yupo getini anakagua wanafunzi tunaopita? Si nitakula doso mpaka niishiwe pumzi 🤣🤣
 
Mngepigana tu ila tuone Nani Ni kamanda.

Wabongo tuko vizuri kwenye kushabikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…