Siwapi kichwa ila natetea uhai wa jamaa, wale watu wana stress ukiingia 18 zao wanakuuaAcha kuwapa kichwa hao wajinga.
BODABODA zinaua watu kila siku na bado wanazipanda. Hao JKT Kama wanaua watu sio sababu ya kuwaogopa. Ndio maana mnarogwa sio kila mtu ni wa kupelekeshwa.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mimi mmoja alijichanganya ofisi za Brela , anajua kilichompa. Hatokuja kusahau. Sisi wengine tumeshajizira, napenda kukutana na wajinga Kama haoSiwapi kichwa ila natetea uhai wa jamaa, wale watu wana stress ukiingia 18 zao wanakuua
Walijiunga JKT ili waje kuwa wanajeshi sasa wamekuja kuangukia kwenye Ulinzi ndio kinachowafanya wawe hivyoHapo kweli walinzi wamezingua,halafu hao walinzi wa Suma JKT Wana Tatizo Gani maana watu Wana malalamiko mengi sana kuwahusu Hiyo kampuni ijiangilie maana raia washaanza kuwasagia kunguni mitandaoni
Wasipochukua hatua watajua hawajui Kwa biashara Yao!
Unaweza kuelezea japo kwa sentesi mbili tofauti ya mlinzi na askari. pia itapendeza ukiongezea majukumu ya kila mmoja asanteMlinzi ni babu masai tu , hao waliopitia mafunzo ukiwajumlisha na Garda na hizo security companies nyingine + hao suma JKT wote ni askari ‘kitaalamu hiko hivyo.
Sisi tu watanzania na tabia zetu mbaya ndio tunawaita walinzi.
Nadhani viongozi Suma JKT inabidi wajitafakari endapo ile mbeleko ya kubebwa na serikali kulinda taasisi zake itatupwa hawatoweza kupewa tenda ya kulinda mahali popote.Aisee jana nimeponea chupuchupu kuzirusha na Walinzi wa SUMA JKT, ipo hivi mimi ni dereva Bajaj sasa kuna abiria wangu huwa nampeleka ofisini na kumfata, jana akaniambia kapata dharura haendi kazini ila akanipa laptop nipeleke ofisini kwao na namba ya muhusika ambaye anatakiwa kupelekewa hiyo laptop akanipa, nilipofika pale nikampigia simu akaniambia ametoka kidogo hiyo laptop niwaachie Walinzi hapo getini nilivyo maliza kuongea na simu kuna mlinzi wa kike akaniuliza kasemaje?
Nikamjibu kasema niwaachie nyie Walinzi anakuja kuichukulia hapa aisee yule mdada akaanza wewe usirudie tena kutuita Walinzi, nikauliza nyie ni wakina nani?
Akawa ananiambia uwe na heshima usitake kubishana na mimi tukazozana pale wale wengine nao wakaingilia nikawaambia nyie ni Walinzi kama hamfanyi kazi ya ulinzi ondokeni hapa mmoja akamwambia wenzake eti huyu ni wakumpa materials za kijeshi Ili atuelewe nikawaambia hilo haliwezekani mkitaka kuhatarisha ajira yenu mniguse kisa nimewaita Walinzi nikawasha zangu Bajaj nikaondoka.
Nilishangaa sana hawa jamaa sijui ndivyo wanavyoambiwa huko na wakubwa zao au ni uelewa mdogo.
Hawana maajqnu yeyote nilipita JKT usiwatishe watu.Ndugu yangu nakusihi usibishane nao siku nyingine watakupiga wakuue, sio kwamba nawaogopa hapana ila hata mimi nilikuwa mlinzi wa Suma Jkt. Kilichopo ni kuwa wengi wa wale walinzi ni vijana kutoka jkt ambao wengi tulikuwa na matumaini ya kuajiriwa na jwtz kwa hiyo unapomuona pale getini sio kwamba kapenda kufanya kazi ile hapana ni kukosa tu kazi kwa hiyo anaishi katika msongo wa mawazo.
Sasa wewe jichanganye hasira zao wakumalizie wewe, kila siku unasikia watu wanauawa na hao sumajkt halafu wewe unajipeleka tu. They have nothing to loose.
Kwani askari kazi yake ni nini mkuu? Sio kulinda!Mlinzi ni babu masai tu , hao waliopitia mafunzo ukiwajumlisha na Garda na hizo security companies nyingine + hao suma JKT wote ni askari ‘kitaalamu hiko hivyo.
Sisi tu watanzania na tabia zetu mbaya ndio tunawaita walinzi.
Ni kweli Copy, ila shida ni ile kumuita mlinzi.Kwani askari kazi yake ni nini mkuu? Sio kulinda!
Na mtu anayelinda ni mlinzi.
Hata wanajeshi, polisi,n.k ni walinzi.
Hata siwezi 😇 poleUnaweza kuelezea japo kwa sentesi mbili tofauti ya mlinzi na askari. pia itapendeza ukiongezea majukumu ya kila mmoja asante
Mngepigana tu ila tuone Nani Ni kamanda.Aisee jana nimeponea chupuchupu kuzirusha na Walinzi wa SUMA JKT, ipo hivi mimi ni dereva Bajaj sasa kuna abiria wangu huwa nampeleka ofisini na kumfata, jana akaniambia kapata dharura haendi kazini ila akanipa laptop nipeleke ofisini kwao na namba ya muhusika ambaye anatakiwa kupelekewa hiyo laptop akanipa, nilipofika pale nikampigia simu akaniambia ametoka kidogo hiyo laptop niwaachie Walinzi hapo getini nilivyo maliza kuongea na simu kuna mlinzi wa kike akaniuliza kasemaje?
Nikamjibu kasema niwaachie nyie Walinzi anakuja kuichukulia hapa aisee yule mdada akaanza wewe usirudie tena kutuita Walinzi, nikauliza nyie ni wakina nani?
Akawa ananiambia uwe na heshima usitake kubishana na mimi tukazozana pale wale wengine nao wakaingilia nikawaambia nyie ni Walinzi kama hamfanyi kazi ya ulinzi ondokeni hapa mmoja akamwambia wenzake eti huyu ni wakumpa materials za kijeshi Ili atuelewe nikawaambia hilo haliwezekani mkitaka kuhatarisha ajira yenu mniguse kisa nimewaita Walinzi nikawasha zangu Bajaj nikaondoka.
Nilishangaa sana hawa jamaa sijui ndivyo wanavyoambiwa huko na wakubwa zao au ni uelewa mdogo.