Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,321
- 18,574
kama ulikuwa kwenye akili yangu hawa ni wapuuz suma jkt siwapend hata punje bora nichane pesa kuliko kumpa takataka ya sumajkt
mpe hela kama huna kausha,mbona omba omba hamuwanangi mnawapita tu na vibaby walker vyenu!!!!
Mshahara wa laki 2 utafaa nini mkuu?
Hapo take home 180K, kama unakuwa uko vizuri saidia tu wana maisha magumu.
SUMA ni shirika la Serikali (JKT) lakini kinachofanyika ni zaidi ya unyonyaji.
Jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia Shirika linatoza si chini ya 500K kwa mlinzi mmoja lakini mlinzi huyo anaambulia 180K kama take home ikiwa ni baada ya makato ya NHIF
Shame on you SUMA management
Mimi niliingia library wakati natoka Suma jkt mmoja apo reception akaniuliza unatafuna nn ?nikamwambia natafuna meno,akasema tema unachotafuna nikatema big gee,nikaondoka zangu,
[emoji23][emoji23][emoji23] Mkuu pole sana, kumbe nilikukera. Ntajirekebisha.Pale Bugando kuna mmoja alinizuia eti matunda siyo chakula anataka waingie walio na chakula tu. Nilijiuliza sana mgonjwa wangu anahitaji matunda jamaa kakaza hakuna kuingia.
Ujingaujinga tu na stress zao hawa vijana wa SUMA
Kijeshi hahahahahaHuwezi kuja jukwaani, kuwaongelea negativity Suma jkt, itakuwa kuna jambo baya wamekufanyia, na usije ukawachezea wale, utapigwa hadi ushangae, na hawa fungwi popote.. Kesi inaisha kijeshi..
Hapo mtera ni mabingwa wa kuomba ombaKumbe ni sehemu nyingi wanasumbua.
Pale Mtera Hydro Power Station barabara ya Dodoma-Iringa kwenye mageti wanaombaomba sana kama hawalipwi mishahara vile ukipita na private car utasikia kaka au dada hatupati hata hela ya maji? wanakera sana.
Hao CCM wenyewe tu wamewakimbiza sumajkt kwenye mwendokasi bimkubwa kasema hawa wapuuzi wanaweza nigombanisha na wananchi bure Sasa hivi hawapo busara hawana waleKwani Suma jkt ,wamekufanya nini broh? mbona umekomaa nao sana... negatively.. Hivi suma jkt na CCM bora nini?