Mbona upara yuko mbali na Obama>?
Mbona upara yuko mbali na Obama>?
Tupeni picha za Berluiscon alivyopewa dozi
Its a different strategy and formation
Yeah mambo ya Oslo hayo.hii wapi, oslo?
Hao jamaa macho yao yanaangalia mikono na sio macho kama watu wengi walivyokuwa wanatudanganya miaka ya nyuma.
Hao jamaa macho yao yanaangalia mikono na sio macho kama watu wengi walivyokuwa wanatudanganya miaka ya nyuma.
Duh!! Naona anons kibao...
Vipi pale magogoni kuna jamaa wanapatrol na kispeed boat?
MARUFUKU MAGARI KUPITA NJIA HII KUANZIA SAA KUMI NA MBILI JIONI MPAKA KUMI NA MBILI ASUBUHI!
Mazee hapo ukikohoa vibaya tu wanakukwida shati....
Polish president and his bodyguard. They look same to confuse terrorists
Naona huu mwaka wa uchaguzi watu wamekimbia sana JFWakubwa GT, Mchaga, Icadon, Eqlypz, SteveD............vipi huku mbona mmekusahau sana..............muonyesheni hata mkwere basi..........