Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

attachment.php
A freak tumble by First Lady Lucy Kibaki was one of the few unfortunate incidents during Saturday’s Jamhuri Day celebrations at Nyayo National Stadium in Nairobi, an event that also exposed the deep divisions within the ODM party
 

Attachments

  • lucy kibaki.jpg
    lucy kibaki.jpg
    24.4 KB · Views: 673
Tupeni picha za Berluiscon alivyopewa dozi
 
Jamaa wakiweka dirisha la bullet proof.
rw402u.jpg

Likiwa kazini
oj4dxk.jpg
 
Duh!! Naona anons kibao...

654ug2.jpg


Vipi pale magogoni kuna jamaa wanapatrol na kispeed boat?
eflxcj.jpg
 
Hao jamaa macho yao yanaangalia mikono na sio macho kama watu wengi walivyokuwa wanatudanganya miaka ya nyuma.
29zwqj6.jpg
 
Hao jamaa macho yao yanaangalia mikono na sio macho kama watu wengi walivyokuwa wanatudanganya miaka ya nyuma.

It does make sense kwenye ulinzi wa watu, maana mikono ndiyo inayochomoa visu, bastola, viatu na sanamu ili kumpiga anayelindwa au kukusudiwa...

However kwenye mapambano ya one-to-one, kama vile ndondi au martial arts, kumwangalia opponent wako machoni ni mhimu, kwani unaweza kuona movement zote anazotaka kufanya katika kuku-attack wewe kupitia mboni za macho yake. Kuna jamaa alinielekeza hii technique kwenye self defence ni kweli inafanya kazi ukii-master.
 
Hao jamaa macho yao yanaangalia mikono na sio macho kama watu wengi walivyokuwa wanatudanganya miaka ya nyuma.
29zwqj6.jpg

...wanaangalia mikono eeeh? no wonder Pope kapigwa mwereka, Berlusconi kang'olewa meno, Bush kakoswa koswa na kiatu, na mzee Mwinyi alizabwa kofi...

Ipo haja CPP's kujipanga upya na aina mpya hii ya 'uvamizi'. Hii ya kushikana mikono na wananchi hainipi raha tangu Rajiv Gandhi alivyovishwa taji na Suicide Bomber na kilichofuatia ni historia, waziri mkuu kuitwa marehemu...
 
Duh!! Naona anons kibao...

654ug2.jpg


Vipi pale magogoni kuna jamaa wanapatrol na kispeed boat?
eflxcj.jpg

...Huenda, maana kuanzia huku juu kwenye kona ya Ocean Rd, kuna bango na jingine kule Tanganyika Swimming Club;
MARUFUKU MAGARI KUPITA NJIA HII KUANZIA SAA KUMI NA MBILI JIONI MPAKA KUMI NA MBILI ASUBUHI!
 
z1117948g9zj.jpg


Polish president and his bodyguard. They look same to confuse terrorists


acha kutuzuga wewe,hapa ni mtu na kaka yake tena ni pacha basi,mmoja alikuwa rais,na mwingine ni waziri mkuu..............
 
Wakubwa GT, Mchaga, Icadon, Eqlypz, SteveD............vipi huku mbona mmekusahau sana..............muonyesheni hata mkwere basi..........
 
Wakubwa GT, Mchaga, Icadon, Eqlypz, SteveD............vipi huku mbona mmekusahau sana..............muonyesheni hata mkwere basi..........
Naona huu mwaka wa uchaguzi watu wamekimbia sana JF
 
ok wote hao wapo kazini ila mtemi wao huyu osama
 
Back
Top Bottom