Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

wapi kamanda wangu icadon..., gt, wapi ww? Nimeisakanyua hii kitu hadi nimeipata..., kuna kijambo kimetokea kwny the dark world of espionage..., mmekiskia?
 
Ngoja tuendelee...

Kuna hawa jamaa wanatokea UN Department of Security and Safety Services

annan-mercs01.jpg
 
Baada ya kutopatikana kwa ile thread nimegundua kuwa kwenye external server yangu niliserve ile thread hivyo nimeona si vibaya kuirudisha tena

Sasa tunauomba msiifte hii thread tena


By the way bila mwenzetu ICADON hiii thread isingekwepo so props to ICADON

this is former Polish Prez's detail

bush_wizyta_2007_3.jpg


the pope
610x.jpg

da ni kali hao woye waliovaa suti ni secret agents??mbona kama jeshi zima kama raisi wa Uganda??
 
Hawa wanaitwa Diplomatic Security Services( DSS) They are tasked primarily with the protection of all foreign dignitaries in the US soil kwa kushirikiana na Secret Service, pia wanalinda High ranking US diplomats abroad pamoja na mambo mengine kutokana na mahitaji.

Naona hapa walikua wanamlinda Rais wa Afghanistan Hamid Karzai
Hao jamaa wawili wenye "vizibau"
KarzaiFlankedA.jpg



KarzaiSurrounded2.jpg
Hapa chini waliombwa na mama Hellen Sirleaf alipoingia mara ya kwanza kwenye urais Wamlinde na kutrain Liberian Protective Service

Sirleaf1.jpg
 
Bado nawasaka jamaa wanaomlinda huyu chalii......Ntawashushia soon.

kpa00.jpg
 
Ungeweka na walinzi wa hapa du wana vitambiii hata purukushani ikitokea
anakabwa mi wakat mwingine nahisi wanatumia kalmanzila awalinde waspte balaa
 
Wakuu Eqlypz Mchaga Moshe Dayan hebu endelezeni hii mada....kuna mambo mengi yametokea lakininaona mko kimya sana...............
Ogah, nipo mkuu, kweli mengi yametokea, kuna ile spy ring ya cia ilokua ndani ya vevak(vezarat e ettelat va amniyat e keshvar) imekamatwa yote, cia wako dissapointed sana, maana ndo ilikua primary source ya intel ndani ya iran, na kumbuka iliwachukua muda sana cia kuitengeneza hii spy ring,,

Then kuna spy ring ya mrusi(SVR and GRU) imekamatwa marekani,, ilikua ni syndicate ya watu kumi, walikua wanafanya "dead drops" za kijinga sana

Nadhani as days go by, espionage is becoming very risky, one double agent can expose an entire spy ring and jeopordize the whole mission

Hivi kuna mtu ana picha ya walter? Yule bodyguard maarufu duniani alekua anamlinda winston churchill, aiweke tafadhali, one of the best bodyguards ever
 
Last edited by a moderator:
Ogah, nipo mkuu, kweli mengi yametokea, kuna ile spy ring ya cia ilokua ndani ya vevak(vezarat e ettelat va amniyat e keshvar) imekamatwa yote, cia wako dissapointed sana, maana ndo ilikua primary source ya intel ndani ya iran, na kumbuka iliwachukua muda sana cia kuitengeneza hii spy ring,,

Then kuna spy ring ya mrusi(SVR and GRU) imekamatwa marekani,, ilikua ni syndicate ya watu kumi, walikua wanafanya "dead drops" za kijinga sana

Nadhani as days go by, espionage is becoming very risky, one double agent can expose an entire spy ring and jeopordize the whole mission

Hivi kuna mtu ana picha ya walter? Yule bodyguard maarufu duniani alekua anamlinda winston churchill, aiweke tafadhali, one of the best bodyguards ever

Mkuu moshe dayan .......nimefurahi umejitokeza labda Eqlypz na Mchaga watajitokeza.......well...well...welll.....ingawaje kazi ya ujasusi siku zote ina risky KUBWA......hayo matukio uliyoyataja hapo juu kwa kweli yamefanya kazi ya espionages activities kuendelea ku-prove hilo........in my opinion....both wamarekani na warusi......despite ya wao kuwa na great knowledge and analysis ya mazingira......bado walichukulia mambo fulani fulani kirahisi..(ingawaje huwa ni mbinu risky mojawapo)......kinachoshangaza.....strategy ya ku-minimize ile damage...na yenyewe inaonekana ilikuwa poor..........thats my opinion though!
 
Last edited by a moderator:
Invisible hii thread inaharibu hali ya hewa.....wenyewe hawaitaki...si walikuambia lakini?
 
Last edited by a moderator:
"Wakuu hawa mabinti walipotelea wapi manake sikuwaona wakati shujaa Gadaffi ikikamatwa na kuwekwa mikononi mwa watesi wake kabla hajauawa!"

Unataka kujua? soma hapa:

"Five women who were part of Col. Moammar Gaddafi’s elite team of female bodyguards say they were raped and abused by the now fugitive Libyan leader.
The Sunday Times of Malta reports that the former bodyguards said Gaddafi and his sons raped and abused them and then discarded the women once the men became “bored” with them.

Benghazi-based psychologist Seham Sergewa has collected the details for use by the International Criminal Court (ICC), which is investigating possible war crimes by Gaddafi and his associates.

Gaddafi has kept a cadre of about 30 women, known as his Amazonian guard, close by his side since the early 1970s. At times, the women took bullets for Gaddafi — one woman died and two were injured when the Libyan leader was attacked in 1998.


The strongman asked his female bodyguards not only for their protection but also for oaths of virginity, and that they be dressed in camouflage, nail polish, coiffed hair, and heavy mascara.


One woman told the Sunday Malta Times she was blackmailed into joining the unit after the regime told her that her brother had been smuggling drugs into Libya and she would go to jail unless she agreed to join the brigade.

“A pattern emerged in the stories,” the Times reports. “The women would be first raped by the dictator and then passed on, like used objects, to one of his sons and eventually to high-ranking officials for more abuse before eventually being let go.”
 
Walinzi wa Julius Malema: Nadhani wengi tunamfahamu.

800xq.jpg
 
Walinzi wa Julius Malema Hapa ilikuwa ni wakati akiwa mahamani.

x800x.jpg


800xi.jpg


usithubutu.

2-22.jpg


Moto huo hamna uongo hapo ukijaribu umekwenda na maji, hawa jamaa ni wa kutoka kitengo cha Youth Wing cha ANC

3-19.jpg


AKIWA NDANI YA MAHAKAMA

800xz.jpg
 
Sura imefichwa kwa sababu maalumu. Ni from Special Forces...
91810611.jpg
 
Hapa kuna matatizo on all points

RAIS WETU hana:

1) Ulinzi wa kutosha kwenye point of attack kwa sababu ya uwazi wa uwanja wa Taifa

2) Kwa jinsi mapikipiki yalivyojazana pale sidhani kama kuna uwezekano wa ku evade assailants and escape as soon as it should be

3) Kwa jinsi jamaa wanavyoninginia kwenye hilo X3 its quite obvious kuwa counter measures zao si madhubuti

Hapa kuna taizo kubwa sana...kwa sababu wote tunajua kazi ya pikipiki ni kuondoa traffic njiani sasa Taifa kulikuwa na traffiic ganimpaka kuwepo na piki piki zote hizo?

Pili for obvious reasons hilo gari alilokwemo ras linaonekana kwanza lenyewe ni threat in terms of security kwa sababu ikitokea incident how fast can they protect ****** bila kumdhuru?

Tatu mbona hatuoni Comm car kama hili hapo chini ikifuata kwa nyuma?

pict483.jpg



I hope hawa waheshimiwa wanasoma comments humu na watafanya review kila baada ya shughuli kuona wapi wamebugi step


Najua wanadai kuwa ****** mbishi lakini when it comes to his protection then sidhani kama atakuwa na ubabe wa kuchagua zaidi ya kuwasikiliza hawa jamaa

We unauliza yote hayo ni sawa na kujisumbua, huku kwetu ni kifalme falme ya kitraditional zaidi, hawafikirii serious attack kwa rais hasa wanawaza attack kama zile za CCM kirumba za kumsukuma rais anguke ndio maana hao wananing'inia kwenye X3 tayari kukimbiza mtu/kibaka, just tazama wote wamefocus upande mmoja na huyo aliye na rais yuko ndani ya full mavazi ka bi harusi vile
 
Back
Top Bottom