until next time, chao!
Asante sana kwa picha mkuu, lakini ingekuwa vizuri kama ungekuwa unaweka na maelezeko japo kigodo tu
gobore..., sio tu uzi pia picha ya juu pale mlinzi wake ana m4,,, silaha ya kimarekani....,
Wakuu Mchaga Moshe Dayan gobore na Eqlypz msitusahau kwa mapicha kutoka kwenye siku ya uapishwaji ya Jaluo.......