Walinzi wa viongozi (mataifa mbalimbali) reconstructed

Mkuu nimezi enlarge.
Gobore
asante kwa pics, lakini huwez zikuza kidogo aisee....then jamaa nadhan wamevaa vitambaa ii kuweza kutambuana, wasije tunguana, mind you wanakaa mbali na mbali, wasije wakakosea wakadhan n adui kumbe n wao kwa wao..
 
Huyo yuko wapi mkuu? Mlinzi ni Mungu tuuu! Yeye anasema asipo-ulinda mji huu waulindao wafanyakazi bure. WHY? Kwa kuwa wote wanakufa...isipokuwa Mungu peke yake ndiye wa milele!!!

hvi yukwapi sikuhizi
 
Iran



...mnh, hawa 'wapambe' wa viongozi wa Iran na Israel mbona shoving and pushing zimekuwa nyingi hivyo? kwetu atayejitia mfanyia Luteni kanali mstaafu hayo ajue kibarua chake kinaota majani !

Huyu jamaa ulinzi wake lazima uwe imara kweli kweli si unajua wamarekani nao wanamtafuta ni nomaa
 
Wakuu Eqlypz Moshe Dayan gobore Mchaga ilikuwaje trip ya Middle East.....nasikia kulikuwa kuna kasheshe moja ya hao ma-SS wa Obama......what happened.....
 
Last edited by a moderator:
Raila na Musyoka watapewa walinzi 12 kila mmoja.....tupeni mapicha wazee....
 

U.S. President Barack Obama steps to the middle of the street to wave to locals after touring the Ciudad de Deus Favela in Rio de Janeiro, Brazil, Sunday, March 20, 2011. (Pablo Martinez Monsivais)
 
Nashusha mavitu ya Castro na Marehemu Chavez hii ni kwa ajili ya kumuenzi Shujaa wangu wa uzalendo, Comrade Chavez












 

Hapa palikua pazuri lakini naona wameshapafanyia makaratee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…