Walio apply udzm 2012 soma hapa

Walio apply udzm 2012 soma hapa

Aisee wewe mleta mada hivi wajua hii ni jamiiforums kwa great thinkers siyo facebook ya watoto.?
 
Kipi kinachoendelea kuhusu hz sellection msaanda ndugu zangu wengine bado 2po gizani?
 
Oya wadau mnaonaje tuki i post hii link ya matokeo ya UDSM kila mmoja wetu akaridhika kama Yumo Udsm kuliko kila siku kupeana ma presha ya ajabu ajabu kutoka kwa wapumbavu fulanifulani wanaokuja na Uongo wao wanaoutoa kwenye story za kahawa kama mko tayari just tell me and leo nitakata mzizi wa fitina kwa ku i post iyo link na kila mmoja aweze hakikisha kama yumo au laaah !! Ni hayo tu wakubwa wana JF
 
Oya wadau mnaonaje nikiweka hii link ya matokeo ya selection ya udzm maana inakuwa sio pouwa kupeana ma presha ya ajabuajabu kutoka kwa wapumbavu baadhi wanao post thread zisizo na ukweli ndani Yake !! Ni kheri nikate mzizi wa fitina ni hivi leo naweka hiyo link ujijue kama humo au haupo..au mnasemaje wadau..
 
Oya wadau mnaonaje nikiweka hii link ya matokeo ya selection ya udzm maana inakuwa sio pouwa kupeana ma presha ya ajabuajabu kutoka kwa wapumbavu baadhi wanao post thread zisizo na ukweli ndani Yake !! Ni kheri nikate mzizi wa fitina ni hivi leo naweka hiyo link ujijue kama humo au haupo..au mnasemaje wadau..

dah me naona bora uweke ili kupunguza hofu kwa watu,pia kukata mzizi wa fitina kabisa
 
Tayari nishayatupia tafuta topic iliyoandikwa selection upload TCU
 
La Cosa...kaka nilimbeba 3rd year semister zote 2 ila hakuwa pasua kichwa sana, life la Mabibo naona lipo pouwa kuliko campus, ukikaa hall 2 au 1 balaa bora hall 7 ndio zuri wamelikarabati mademu wanakaa mule! Unamkumbuka yule muuza makaratasi rasta?

Dah kaka sikukaa zaidi ya mwezi nikasepa mkuu.....Hall 2 noma....chafu vibaya halafu kama limeinama hivi kama linataka kuanguka...duh....yale majengo tunayatamanigi mpaka uishi pale ndio utakubali....halafu wanachuo washaacha tabia za kuibiana nguo ukianika??
 
Dah kaka sikukaa zaidi ya mwezi nikasepa mkuu.....Hall 2 noma....chafu vibaya halafu kama limeinama hivi kama linataka kuanguka...duh....yale majengo tunayatamanigi mpaka uishi pale ndio utakubali....halafu wanachuo washaacha tabia za kuibiana nguo ukianika??

oya wakubwa kuna washkaj wangu ka 6 wanatua pand hzo xo kwa anayetaka kubebwa just PM me
 
Oya mkuu ze duduz ulizidisha chumvi,mbona kuna watu wamechaguliwa hapo udsm hzo kozi za biashara na wana dv 3 zile chafu?
 
Back
Top Bottom