a a a aaahaaah nini sasa,sijaona perry kakujibu lolote,2meamua kusubiri wengne.
kwa mlio ni pm
1. Reginald silayo-failed
2. Noor Mzava-passed
3. Adolf simba-failed
4. Steven leonard-failed
5. Frank kerota-failed
6. Obed kaberwa-failed
kwa mlio ni pm
1. Reginald silayo-failed
2. Noor Mzava-passed
3. Adolf simba-failed
4. Steven leonard-failed
5. Frank kerota-failed
6. Obed kaberwa-failed
Mkuu vp umenisahau??kwa mlio ni pm
1. Reginald silayo-failed
2. Noor Mzava-passed
3. Adolf simba-failed
4. Steven leonard-failed
5. Frank kerota-failed
6. Obed kaberwa-failed
kaka mfano we ni bosi wa ofisi fulani afu ndani ya ofisi hiyohiyo kuna jambo linafanyika hebu nambie hapo utashindwa kufahamu ya kuwa kuna kitu kinaendelea ndani ya ofisi yako? Waitn 4ur answer
Na ukiniuzi siya Post !! Kwani lazima kuya post
umesema huyo prof ni mkuu wa department.sasa mkuu wa department ana uhusiano gan na selection?yeye atahusika pale mwanafunz atakapo kuwa registered otherwise ungeniambia huyo prof ni dean wa college mojawapo pale ud atleast ningekuelewa,bt head wa department hausiki kwa vyovyote vile ktk selection.we kubali 2 umedanganywa na mshkaji wako nawe umekuja kutudanganya huku.
dogo ulixoma H kunani nini?
Kama wewe hujapata one pole watu tumetupia one ,div3 ni bora muombe ruco,tumaini n.k,udsm ni div i na ii tena ya kumi!
Mfukunyuzi, naomba radhi bwana iyo taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa mmoja yupo udsm kwamba wao ni i na two basi!
acheni kudanganywa nyie....kwa taarifa tu ni kwamba ufaulu wa mwaka huu umekua mbovu sana hadi selection committee wameshindwa wamchague nan na wamuache nan cos watu wengi wameangukia kwenye 3,sasa hao ud wakisema wachukue dv 1 tu watazitoa wap?ze duduz jipange kabla hujaanza kudanganya watu mkuu.