Mfukunyuzi
Senior Member
- May 30, 2012
- 125
- 9
kaka Jipangeeee !! We kama ulilamba dvn 3 ni wewe tatizo mkifika shule mnakalia Mapenzi hii ndo tatzo la kuanza mapenz ukubwani..!! Ulikuwa wapi primary na O-lvl tena nyie mkifika chuo ndo walewale mwisho wa siku unaambulia wale wadudu wadogo wanaokula kilo nzma ya nyama kwa kushobokea Mbunye.!! Xo dogo narudia tena Jipangeeeh !! Sasa mfano mzuri kwenye iyo actorial science wanataka watu ka 28 kwa iyo unataka kuniambia mwaka huu EGM Waliopata dvn1 ni watano (5) tu na wengne wakapa dvn 3 Huu ni upuuzi?? Kwa iyo unataka kuniambia wawaache washkaji wa EGM waliozibua dvn 1 zao za 5 na 6 even ya 7 na 8 wakuchukue wewe Kilazaa tena Kiaziii uliyepata dvn 3 tena nahisi ni ya kumi na 15 or 16 Hahahahah.!! Sasa kwa taarifa yako Mwaka huu EGM PCM and somehow PGM wametusua ile mbaya wewe kama shule Yenu walitaga ni Nyie bhana usitujumuishe na wengine.! Nadhani umenisoma>>>> Perry
ili kuondoa utata we ungeyaweka majina 2 ili kukata mzizi wa fitna, vp wewe umepata pande zp