Walio apply udzm 2012 soma hapa

Walio apply udzm 2012 soma hapa

Oya maselaa mbona tunazinguana kama vipi tusubiri tcu watangaze na sio kila mtu aje na lake kama vipi mtu akija na taarifa aje na source na aweke linki itakayomsaidia mtu kutazama ni hayo tu
 
Haiwezekani ikawa mambo za ajabu TCU sio wapuuz wakuweka cut off point ndogo alafu chuo kikaweka point kubwa kama vp watoe tuone 2sijipe presha
 
Bado samaki nchanga Ze duduz...simaanishi unavyofikiri wewe....Mungu akikujalia kufika udsm(home of intellectuals) utajua nasema...misamiati hiyo haipatkan form six...
 
Haiwezekani ikawa mambo za ajabu TCU sio wapuuz wakuweka cut off point ndogo alafu chuo kikaweka point kubwa kama vp watoe tuone 2sijipe presha

tatizo walikuwa wanachek jinsi ulivyopanga course husika kwa mfano mm hyo koz niliijaza 4th priority dats why nikaachwa bt ningeijaza 1st priority mbna udzm ilikuwa mkononi
 
Kusema kwel me inaniuma saana kuona watu wanakuja hapa alafu wanaleta habari ambazo sijui wamezisikia wap kuhusu haya maselection.
Yan kama wangejua jinsi wanavowaweka watu roho juu especialy sisi tulioaply mwaka huu wasingekua wanafanya ivo kabisa..

Grow up guyz na mlete hapa habar mkiwa na uhakika na mlete na visibitisho basi coz thats hw great thinkez do..

NB:Mods plz do somethn abt thos pple
 
Bado samaki nchanga Ze duduz...simaanishi unavyofikiri wewe....Mungu akikujalia kufika udsm(home of intellectuals) utajua nasema...misamiati hiyo haipatkan form six...

kaka sio kwamba umenitukana?
 
Kusema kwel me inaniuma saana kuona watu wanakuja hapa alafu wanaleta habari ambazo sijui wamezisikia wap kuhusu haya maselection.
Yan kama wangejua jinsi wanavowaweka watu roho juu especialy sisi tulioaply mwaka huu wasingekua wanafanya ivo kabisa..

Grow up guyz na mlete hapa habar mkiwa na uhakika na mlete na visibitisho basi coz thats hw great thinkez do..

NB:Mods plz do somethn abt thos pple
 
Oya mwana mbona iyo link mi sioni kaka kama vp iweke basi inamana tcu hawatoi watu waliokuwa selected
 
Jamani naombeni 2kae na kutulia kwasababu 2nawekana roho juu juu kama vp 2subir watoe na c 2endelee na majukumu mengine bhana
 
Epicauta acha kufikiri kwa masaburi, Zeduduz sijakutukana mdogo wangu ukifika baada ya siku hata mbili utan PM...kuwa umeelewa nini nilivosema kubeba!!
 
Kusema kwel me inaniuma saana kuona watu wanakuja hapa alafu wanaleta habari ambazo sijui wamezisikia wap kuhusu haya maselection.
Yan kama wangejua jinsi wanavowaweka watu roho juu especialy sisi tulioaply mwaka huu wasingekua wanafanya ivo kabisa..

Grow up guyz na mlete hapa habar mkiwa na uhakika na mlete na visibitisho basi coz thats hw great thinkez do..

NB:Mods plz do somethn abt thos pple

kaka pole xana kwa kuwa na presha !! Afu kwani hujiamini?? Kuwa ndume bwana why uogope hz selectn zipo tu.! Evidence ninazo coz email na paswrd ya mshkaji yenye hyo link ya majina ninayo xo swali linakuja nimwamini nani? Ili aweze kuleta huo mzigo hapa mezani?
 
Epicauta acha kufikiri kwa masaburi, Zeduduz sijakutukana mdogo wangu ukifika baada ya siku hata mbili utan PM...kuwa umeelewa nini nilivosema kubeba!!

au kuna kuwa kuna ka hongo maana kuna mxela angu ana dv3 ya 15 yaani prncpl 3 bt yy kaenda eti kisa baba yake yuko pand zile ndo unamaanisha hvyo au? Afu ww ni kidume au kijike??
 
Sometym mambo lazima yaende kwa kujuana sababu hakuna jambo lisilowezaka Tz...mi ni dume bana, niliposema kubeba, namaanisha mfano we first year utakapofka lazima upate chumba, kwa kawaida mwaka wa 2 na 3 hatupati vyumba, kinachofanyika ni kulala wawili wawili ila tunachangiana kulipa hiyo pesa ya accomodation...ni ishu ambayo imezoeleka na hakuna mtu analala peke ake mpaka kwa mademu..kuna kpindi uongozi ulitaka kumind...wanafunzi nao wakataka kulianzisha kama kawaida!! wakaogopa kwa hiyo hiyo style ya kulala tunaita"kubebana"....Maige alimbeba kikwete wakati Maige yupo first year na Vasco alikuwa 2nd year...umenisoma man!
 
kaka pole xana kwa kuwa na presha !! Afu kwani hujiamini?? Kuwa ndume bwana why uogope hz selectn zipo tu.! Evidence ninazo coz email na paswrd ya mshkaji yenye hyo link ya majina ninayo xo swali linakuja nimwamini nani? Ili aweze kuleta huo mzigo hapa mezani?

zeduduz nimetuma pm mwanangu...
 
Actuarial!
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!

1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12

But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
 
kaka pole xana kwa kuwa na presha !! Afu kwani hujiamini?? Kuwa ndume bwana why uogope hz selectn zipo tu.! Evidence ninazo coz email na paswrd ya mshkaji yenye hyo link ya majina ninayo xo swali linakuja nimwamini nani? Ili aweze kuleta huo mzigo hapa mezani?

sio kwamba sijiamin ze duduz n believ me hata aliyepiga kijit cha 3 ana presha na matokeo coz wa2 2mechoka kukaaa hom 2nataka tuondoke bana..

N one other thng mkubwa i don blame u for not putn thoz result hapa jamvn on th contrary nafurai coz by doin so utakua unacheza na kaz za wa2..if th date is settld lets wait for it n not startn breakn pplz protocol
 
Bado samaki nchanga Ze duduz...simaanishi unavyofikiri wewe....Mungu akikujalia kufika udsm(home of intellectuals) utajua nasema...misamiati hiyo haipatkan form six...

Teh teh teh....nakumbuka na mimi "nilibebwa" na jamaa yangu main campus coz sikutaka kukaa Mabibo....chumba cha mabibo nikapiga bei..."nikabebwa" hall 2...teh teh ..Mlimani bana...ila nilitimua baada ya mwezi.....madogo mnanikumbusha mbali....
 
Back
Top Bottom