Walio apply udzm 2012 soma hapa

Walio apply udzm 2012 soma hapa

kaka Jipangeeee !! We kama ulilamba dvn 3 ni wewe tatizo mkifika shule mnakalia Mapenzi hii ndo tatzo la kuanza mapenz ukubwani..!! Ulikuwa wapi primary na O-lvl tena nyie mkifika chuo ndo walewale mwisho wa siku unaambulia wale wadudu wadogo wanaokula kilo nzma ya nyama kwa kushobokea Mbunye.!! Xo dogo narudia tena Jipangeeeh !! Sasa mfano mzuri kwenye iyo actorial science wanataka watu ka 28 kwa iyo unataka kuniambia mwaka huu EGM Waliopata dvn1 ni watano (5) tu na wengne wakapa dvn 3 Huu ni upuuzi?? Kwa iyo unataka kuniambia wawaache washkaji wa EGM waliozibua dvn 1 zao za 5 na 6 even ya 7 na 8 wakuchukue wewe Kilazaa tena Kiaziii uliyepata dvn 3 tena nahisi ni ya kumi na 15 or 16 Hahahahah.!! Sasa kwa taarifa yako Mwaka huu EGM PCM and somehow PGM wametusua ile mbaya wewe kama shule Yenu walitaga ni Nyie bhana usitujumuishe na wengine.! Nadhani umenisoma>>>> Perry

ili kuondoa utata we ungeyaweka majina 2 ili kukata mzizi wa fitna, vp wewe umepata pande zp
 
kaka Jipangeeee !! We kama ulilamba dvn 3 ni wewe tatizo mkifika shule mnakalia Mapenzi hii ndo tatzo la kuanza mapenz ukubwani..!! Ulikuwa wapi primary na O-lvl tena nyie mkifika chuo ndo walewale mwisho wa siku unaambulia wale wadudu wadogo wanaokula kilo nzma ya nyama kwa kushobokea Mbunye.!! Xo dogo narudia tena Jipangeeeh !! Sasa mfano mzuri kwenye iyo actorial science wanataka watu ka 28 kwa iyo unataka kuniambia mwaka huu EGM Waliopata dvn1 ni watano (5) tu na wengne wakapa dvn 3 Huu ni upuuzi?? Kwa iyo unataka kuniambia wawaache washkaji wa EGM waliozibua dvn 1 zao za 5 na 6 even ya 7 na 8 wakuchukue wewe Kilazaa tena Kiaziii uliyepata dvn 3 tena nahisi ni ya kumi na 15 or 16 Hahahahah.!! Sasa kwa taarifa yako Mwaka huu EGM PCM and somehow PGM wametusua ile mbaya wewe kama shule Yenu walitaga ni Nyie bhana usitujumuishe na wengine.! Nadhani umenisoma>>>> Perry

duuh!!!
 
Ze duduz upo sahihi mwaka huu pcm wamefaulu sana nenda angalia matokeo ya pcm ktk shule mbalimbal ondoa specialskuli
 
ze duduz, hivi kama kuna shule zinazochukua wenye i na two za kuhesabu tbrboys, sasa kwa nin kusiwe na chuo cha i na ii?
 
Sasa ndugu ulieanzisha mada fanya kuya post ayo majina uliyonayo kwenye jamvi na kufanya ivo ndo utaondoa ubishi uliopo
 
Yani ze duduz umempasuapasua kabisa perry ! Nahisi hadi kahama hadi jukwaa !
 
zee duduuuuuz. . .ze duuuuduuz. . .duduuuuu. . . . .z. . . .muda umefika,tendea haki jamvi.
 
Kama wewe hujapata one pole watu tumetupia one ,div3 ni bora muombe ruco,tumaini n.k,udsm ni div i na ii tena ya kumi!
mi nna one ila kwa ulichosema nakupinga!! afu kwenye blue..nadhan umekosea mkuu,jf wako weng na sio wote wana div1 au 2 kma wewe..so hiyo kauli kwenye blue nadhan unaumiza watu bila kujua!! nawakilisha...
 
lordville,kaka samahan ni harakat za kuleta chalenji humu jf! dah samahani sana lordville
 
Mabishano hayana maana na tambo za one or three hazina faida,zaidi duduz maliza kwa kupost names kuipa uzi mashiko over!
 
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!

1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12

But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7

hivi jamani kaka zetu geology na Acturial ili mtu wa EGM asome anahitaji awe na vigezo gani help us??
 
kaka mbna umetumiwa majina yetu ila hatuoni ukiyapost ndo tumetemwa nn?
 
ndio hivo madarasa yale yale wahadhiri wale wale vitabu vile vile,wanafunzi wameongezeka,hivo hakuna namna,usikate tamaa apply next yr
 
Chuo mnaanza lini? imefika wakati tena wa kunasa newcomers! huwa raha sana na ugeni wao vyuoni basi kama kuokota kumbikumbi vile!
 
Heri yangu nasubiri vyuo vya kata wale wa ud naona presha juu poleni.
 
kwa wale walioapply kozi mbalimbali mlimani click link hiyo kuangalia kama umechaguliwa
 
Back
Top Bottom