Walio apply udzm 2012 soma hapa

Walio apply udzm 2012 soma hapa

B.com in finance wamechukua mwisho two ya 11, B.com in Accounting wamechukua mwisho two ya 12. over
 
B.com in finance wamechukua mwisho two ya 11, B.com in Accounting wamechukua mwisho two ya 12. over

we ndio uko sahihi mkuu.hakuna chuo kinacho chukua dv 1 tu bana.
 
jamaa angu baba ake ni profesor pale udzm kaja hme kwao na cd ya admissn ndo kanichekia yangu ka vp ni2mie jina lako akachekie

Mwisho wa ubishi, kesha kutumia? Prof.amewaachia kopy ya CD unayo hapo?
 
Oya ze duduz vipi huko kwa mangwini a.k.a mahechikunani!
 
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!

1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12

But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7

kaka umejuaje umeachwa?? embu nieleshe na mimi nijue kama nimeachwa au la??!!!
 
mi nliapply bsci with geology na actuarial kama vp nichekie bas??kama unaweza nikupe jina??

Mkuu hapo kama huna hzo point nilizoweka hapo juu jua huna chako !!
 
wekeni na md jamani kcmc na bugando mambo yamekaaje coz muhimbili najua kazi ipo
 
Back
Top Bottom